Natafuta line za chuo za Airtel nipo Mtwara Mjini

Natafuta line za chuo za Airtel nipo Mtwara Mjini

STUKA M1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,469
Reaction score
7,071
Hyy wana JF..
Nipo mkoani Mtwara now some college.. So nahitaji line za chuo za Airtel, So naweza kupata maeneo gani hapa mjini..?
Wenyeji wa Mtwara msaada tafadhari

Nawasilisha
By Shombeshombe hapa...
 
Airtel sidhani kama wana line za chuo ila wana vocha za chuo
 
Nenda Airtel shop pale Maduka makubwa, chukua boda boda mwambie akupeleke Madukani airtel shop, au fika Stand kuu ya mabasi ndani pale, utaona miamvuli ya airtel fika hapi muulizie mtu wa kuitwa Bashiru Macho, au Hizza frank watakusaidia kuzipata...
 
Nenda Airtel shop pale Maduka makubwa, chukua boda boda mwambie akupeleke Madukani airtel shop, au fika Stand kuu ya mabasi ndani pale, utaona miamvuli ya airtel fika hapi muulizie mtu wa kuitwa Bashiru Macho, au Hizza frank watakusaidia kuzipata...
Shukrani sana mkuu... Inabidi nidrop site hzo midamida
 
Back
Top Bottom