Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau napenda kufahamu soko la ubuyu mweupe ambao bado haujafanyiwa procces yoyote zaid ya kutolewa kwenye magamba yake.!
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari, kilivyo hapo juu, dagaa wasafi wanapatikana kwa Bei rahisi sana Tsh. Laki na sitini ( 360,000 ). Tupo Dsm, mikoani pia tunatuma, Ni pm kwa Mawasiliano zaidi karibuni sana
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawasalimu Wakuu. Moja kwa moja ninyooke nisiwachoshe.Nimefuatilia bei za gari kuingiza nineona naweza kununua sasa maana mambo ya msingi nimepunguza la starehe kidogo nimiliki usafiri wangu ka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
HDD: 500Gb Processor core i3 Ram 4gb Fingerprint HDMI/VGA Price: 500K Location: Dom Cont. 0625659842
0 Reactions
0 Replies
401 Views
Nauza Tecno W3 LTE yenye sifa zifuatazo. Kioo size yake ni inches 5. Battery 2500mAH inakaa muda mrefu. Ina uwezo wa 4G LTE. Internal Memory 8Gb. R.A.M 1GB. Kamera ya nyma 8 Mp. Kamera ya mbele 2...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Ewe Mzazi ewe mwanafunzi tumia karibuni Vitabu Vya bookkeeping olevel nilivyonavyo sasa ni vya form one tu.ukiitaji nicheck Wsp 0782163738 Au nipigie 0752163738/0712163738
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.Mimi naishi kahama mkoani shinyanga.Wazo langu ni la kufungua Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi. Nilipata sehemu karibu kabisa na...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Za jioni wadau? Simu aina ya Huawei P8 na INA 3GB ram na internal yake ni 16 GB. Haina tatizo lolote naiuza kwa sababu Nina simu nyingine hii imekaa tu ndani. Iko kwenye condition nzuri na kwa...
0 Reactions
2 Replies
866 Views
Gari aina ya vits Engine iko safi kabisa Unapata kwa mil 4.5 punguf tunaongea. Nichek namba +255 713 756 744
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Waheshimiwa kwa yoyote anayeweza kunisaidia kujua mahali ambapo nitapata shamba maeneo yaliyo Karibu na manispaa liwe Na maji aidha ya kisima au mto naomba tuwasiliane hapa 0757014056
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimepewa zawadi ya vocha za mtandao wa Tigo zenye thamani ya Tsh.70,000/= ilihali mimi ni mtumiaji wa mtandao mwingine na sina line ya Tigo,Natafuta mtu wa kumuuzia vocha hizo kwa Tsh.63,000/= au...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
kwa anayehitaji laptop kali na ya kisasa tuwasiliane kupitia no 0715-546818 , laptop ipo katika hali nzur sana haina hata mchubuko , ni lenovo, core i7, ram 8gb, hard disk 500 gb, bei ni tsh...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Dagaa waliokaangwa vizuri na wazuri walio katika grade nzuri kutoka ziwa Victoria wanapatikana kwa bei nafuu mno itakayokupa faida nzuri utakapouza kwa rejareja hata kwa jumla. Kama utahitaji...
0 Reactions
0 Replies
955 Views
nauza toyota noah in good condition price 12,500,000/= negotiatable km;72088
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji Nyumba ya vyumba viwili , sebule, jiko na choo cha ndani, luku ya kujitegemea na Maji. Maeneo yoyo dar, yalio Karibu na Mjini. Bajati yangu 200000. Dalali hatakiwi.
0 Reactions
4 Replies
914 Views
napatikana dar es salaam. [/IMG]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Za mda huu! Wadau natafuta nakala za vitabu(hard copy) vya E.Chahali kwa hapa Dar es salaam. Either ni mmiliki wa bookstore - - waweza nielekeza wapi bookstore yako ilipo nikaja kuvinunua, au kama...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi ambaye niko Rombo Kilimanjaro, natafuta mwalimu wa kubadilishana ahamie Rombo na mimi nihamie Dar es Salaam. Kwa mawasiliano 0763686230
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom