Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nauliza nani anajua wapi naweza kupata hii machine ya kutengeneza matofali aina ya Hydra Form. Na ni bei gani?. Wasaalam. NB mwenye kujua wapi naweza kupata tukutane In box uniachie ujumbe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu waheshimiwa, Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo...... Bei zang ni: * 10,000 kwa karatas normal size * 15000...
10 Reactions
26 Replies
5K Views
Natafuta fundi wa photocopy mashine aliyepo moshi Mashine yangu inatatizo Msaada pia Kwa anae mjua fundi around moshi Kilimanjaro
0 Reactions
3 Replies
883 Views
Habari wana JF, mi ni mjasiriamali chipukizi............... Najishughulisha na kukusanya zao la Ukwaju. Mwenye uhitaji naomba anitizame inbox tuzungumze
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello wakuu, salam kwenu, Naomba nije kwenye mada moja kwa moja , Mimi nanunua bidhaa hizi Nairobi, na nyingine PIA napata hapa hapa Arusha Tanzani ambako ndiko ninakouzia bidhaa zangu hizi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Natumahi ujumbe huu utawakuta mkiwa salama salimi, Nina habari njema kwa viongozi au wanachama wa vyama vya ushirika saccoss, kuwa sasa taasisi ya jikuze Business Solution imepewa kibari cha...
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Salaam zenu wana jf,Mimi ni mfanyabiashara mdogo namiliki lodge ila nilikuwa nahitaji mkopo wa kumalizia lodge yangu nyingine. Naomba mwenye uelewa wa bank nzuri inayotoa mikopo kwa riba nafuu...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
V Lake and sea fishmonger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI wabichi kutoka BUKOBA (ZIWA VICTORIA) bei zetu ni 1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara Tsh...
0 Reactions
45 Replies
16K Views
Kwa mahitaji ya nguo za aina mbalimbali za ndani kwa ajili ya wanawake zinapatikana kwa bei ya jumla Ni nguo zenye quality nzuri kabisa kutoka Egypt Kwa mawasilano zaidi tumia anuani zifuatazo...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari nauza simu elfu 50 Samsung GT S5301 nicheck PM au 0713667607
0 Reactions
6 Replies
913 Views
NAUZA NDOO NDOGO ZA KAWAIDA ZA LITA 10 TS ELF 3 ZIPO MIA ZILIKUWA NA BLUEBAND NI MPYA
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Nauza Huawei y520 kwa bei poa ya Tsh90000 tu Nipo Babati, manyara kwa mawasiliano 0672231377
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa Offer ya 390000-400000
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni kijana ambae nina nia ya ya kua content creator wa habari mbalimbali mitandaoni ila nahitaji kufahamu bei za maiki kwa ajili ya camera ni shilingi ngapi???
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata shamba lenye hekari 30 linauzwa mkuranga limepimwa lina minazi zaid ya 10 mananasi na mpunga matikiti na mazao na mikorosho zaid ya 20 lipo mkuranga bei ni poa kwa zaid tuwasiliane kwa simu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni ya ck product ya dar_es-salaam tegeta tunapenda kuwafahimisha wale wote wa penzi wa pilipili kaliiii yaani hot chill na pilipili isiyowasha sana yaani mild chill ck tunasupply pilipili...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Tecno W4 C8 C9 J8 Sumsung yenye camera 8mp screen 4.7 or above nipo Iringa Offer yangu 100000
0 Reactions
3 Replies
907 Views
Natafuta fundi wa photocopy mashine aliye moshi / himo au rombo Nna Tatizo anisaidie ku solve
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Habarini wadau ,naingiza games za ps2 kwenye flashdisc bei ya moja 1800 ukinunua 5, 2ztaongezwa kama offer kwa anayehitaji anichek kwa inbox
0 Reactions
5 Replies
806 Views
Back
Top Bottom