Wakuu nauliza nani anajua wapi naweza kupata hii machine ya kutengeneza matofali aina ya Hydra Form. Na ni bei gani?.
Wasaalam.
NB mwenye kujua wapi naweza kupata tukutane In box uniachie ujumbe...
Habari zenu waheshimiwa,
Kwajina naitwa Said, na ni mtaalamu wamichoro, nauwezo mkubwa wa kumchora mtu na akatokea kama jins alivyo......
Bei zang ni:
* 10,000 kwa karatas normal size
* 15000...
Habari wana JF, mi ni mjasiriamali chipukizi............... Najishughulisha na kukusanya zao la Ukwaju. Mwenye uhitaji naomba anitizame inbox tuzungumze
Hello wakuu, salam kwenu,
Naomba nije kwenye mada moja kwa moja ,
Mimi nanunua bidhaa hizi Nairobi, na nyingine PIA napata hapa hapa Arusha Tanzani ambako ndiko ninakouzia bidhaa zangu hizi...
Natumahi ujumbe huu utawakuta mkiwa salama salimi,
Nina habari njema kwa viongozi au wanachama wa vyama vya ushirika saccoss, kuwa sasa taasisi ya jikuze Business Solution imepewa kibari cha...
Salaam zenu wana jf,Mimi ni mfanyabiashara mdogo namiliki lodge ila nilikuwa nahitaji mkopo wa kumalizia lodge yangu nyingine.
Naomba mwenye uelewa wa bank nzuri inayotoa mikopo kwa riba nafuu...
V Lake and sea fishmonger tunawatelea dagaa za kukaanga, senene za kukaanga pia SAMAKI wabichi kutoka BUKOBA (ZIWA VICTORIA) bei zetu ni
1. Samaki kwa bei ya Reja reja kwa kilo ni sangara Tsh...
Kwa mahitaji ya nguo za aina mbalimbali za ndani kwa ajili ya wanawake zinapatikana kwa bei ya jumla
Ni nguo zenye quality nzuri kabisa kutoka Egypt
Kwa mawasilano zaidi tumia anuani zifuatazo...
Mimi ni kijana ambae nina nia ya ya kua content creator wa habari mbalimbali mitandaoni ila nahitaji kufahamu bei za maiki kwa ajili ya camera ni shilingi ngapi???
Pata shamba lenye hekari 30 linauzwa mkuranga limepimwa lina minazi zaid ya 10 mananasi na mpunga matikiti na mazao na mikorosho zaid ya 20 lipo mkuranga bei ni poa kwa zaid tuwasiliane kwa
simu...
Kampuni ya ck product ya dar_es-salaam tegeta tunapenda kuwafahimisha wale wote wa penzi wa pilipili kaliiii yaani hot chill na pilipili isiyowasha sana yaani mild chill ck tunasupply pilipili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.