Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wakuu, nipo Dar nahitaji catrige ya printer 4250. Wapi naweza kupata?
0 Reactions
3 Replies
901 Views
Ndugu dalali husika na kichwa tajwa hapo juu Nakuomba uje PM au hapa hapa maana wenye uhitaji huenda tukawa wengi chumba kiwe karibu na chuo.
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Nauza TV za kchogo nko arusha elf tisini na tano kuna punguzo la bei pia
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wakuu , baada ya jana kuzunguka sana Maeneo ya Mawasiliano na Msewe na madalali wa kule nimekosaaa room. Kama kuna yoyote ambae anaishi maeneo hayo na yuko karibu kuachia room naomba tuchekiane...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Nauza simu tajwa hapo juu kwa anayehitaji anipm
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu kama kuna mtu anaweza kunielekeza sehemu ya kuipata kwa Dsm na bei yake.. Naomba anisaidie mimi nipo mkoani next week takuwa huko.. Ahsanteni..
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanabodi, inahitajika engine tajwa hapo juu ya Toyota Hilux double cabin. Tafadhari mwenye nayo namkaribisha tufanye biashara. Offer yangu ni 2M.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bati la IT5/MSOUTH/MIGONGO MIPANA Bati la IT5(industrial Trough 5) maana yake migongo iliyolala ni mitano ndio maana likaitwa IT5 au wengi hupenda kuyaita mabati ya msouth. Kwa bati la sunshare...
1 Reactions
6 Replies
14K Views
Habari zenu wakuu, nauza package za accounts aina ya quickbooks uk version za kuanzia 2010 mpaka 2017 aina zote pro , premier na accountant kwa bei nafuu sana. ukihitaji nicheck kwa email...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
adau naomba mniwezeshe mwenzenu kwenye huu ulimwengu wa ujasiliamali. Ninauza Mbao za mninga na Mkongo mzigo umekuja juzi tu; wahi upate super!!! Bei zinatofautiana kutokana na size. Mbao zote...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
kama ionekanavyo hapo bei chee tu 250k HD 160GB Ram 2GB
0 Reactions
7 Replies
977 Views
mwenye mayai ya kisasa kwa kiwango kikubwa nanunua 4000@tray. idadi upto 5000trays/week. 0779420000 whatsapp
0 Reactions
10 Replies
1K Views
  • Closed
Wakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari Wakuu!!!! Nahitaji gari used aina ya raum Au noah,bajeti yangu ni 5 cash mkononi. Najua hela yangu yaweza kuwa ndogo ila kwa mtu mwenye uhitaji wa hela Nadhani anaweza kuuza alichonacho...
0 Reactions
1 Replies
634 Views
bei:90,000Tsh tu. 0788622610 Napatikana dar
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Niko tayari kufanya kazi mkoa wowote Nipigie namba 0658412948 kwa uhitaji wa mpiga picha
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo Location Arusha Sifa ya laptop Core i3 Ram 4gb HDD 500 Processor 2.13 Haina tatizo lolote Lile aina ya baiskeli ninayoitaka Inaitwa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Inauzwa million 29 imepata ajali kidogo tu kwa mbele documents zote zipo sawa na aidaiwi kitu chochote Karibuni sana wakuu Karibuni sana wakuu
0 Reactions
157 Replies
24K Views
Zipo aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja mfano kwa ajili ya birthday,Harusi,Sikukuu mbalimbali kama eid al fitri ,Christmas,Pasaka na kumbukumbu mbalimbali za kimaisha Pia kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom