Wakuu , baada ya jana kuzunguka sana Maeneo ya Mawasiliano na Msewe na madalali wa kule nimekosaaa room.
Kama kuna yoyote ambae anaishi maeneo hayo na yuko karibu kuachia room naomba tuchekiane...
Bati la IT5/MSOUTH/MIGONGO MIPANA
Bati la IT5(industrial Trough 5) maana yake migongo iliyolala ni mitano ndio maana likaitwa IT5 au wengi hupenda kuyaita mabati ya msouth.
Kwa bati la sunshare...
Habari zenu wakuu, nauza package za accounts aina ya quickbooks uk version za kuanzia 2010 mpaka 2017 aina zote pro , premier na accountant kwa bei nafuu sana. ukihitaji nicheck kwa
email...
adau naomba mniwezeshe mwenzenu kwenye huu ulimwengu wa ujasiliamali. Ninauza Mbao za mninga na Mkongo mzigo umekuja juzi tu; wahi upate super!!! Bei zinatofautiana kutokana na size. Mbao zote...
Wakuu ninauza kiwanja changu 66ft kwa 131ft kipo uelekeo wa Chanika (kutokea Pugu) kituo kinaitwa Kwachikila (Karibu na Sheratoni). Ukishuka hapo bodaboda ni elfu 1 hadi 1.5 mpaka unafika kwenye...
Habari Wakuu!!!!
Nahitaji gari used aina ya raum Au noah,bajeti yangu ni 5 cash mkononi.
Najua hela yangu yaweza kuwa ndogo ila kwa mtu mwenye uhitaji wa hela Nadhani anaweza kuuza alichonacho...
Nakupa lapotop unanipa baiskeli na hela kidogo
Location Arusha
Sifa ya laptop
Core i3
Ram 4gb
HDD 500
Processor 2.13
Haina tatizo lolote
Lile aina ya baiskeli ninayoitaka
Inaitwa...
Zipo aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya mteja mfano kwa ajili ya birthday,Harusi,Sikukuu mbalimbali kama eid al fitri ,Christmas,Pasaka na kumbukumbu mbalimbali za kimaisha Pia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.