Kwa anae hitaji mkopo ndani ya masaa 24 kuanzia laki1 na kuendelea ani tafute hata pm,ila awe na vigezo hivi;
.awe mtumishi wa umma(serikali)
.mshahara wake uwe una pitia hazina.
ukiwa tayari...
Wasalaam
Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa?
NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya...
Habari ndugu wana JF.
Naomba kuuliza hotel au lodge nzuri iliyopo maeneo ya baharini beach Tanga ...
Nataka nikatembee kidogo nipumzishe akili yangu na stress za maisha.
Msaada please
Wadau,
Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS...
Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa...
Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na...
habari wanajamvi,
naweza kupata maelezo na sehemu ambapo ntaweza kupata utaalam wa kufungiwa tracker kwenye chombo cha usafiri kama pikipiki au bajaj kwa ajili ya kujua ilipo na kuona mienendo...
TOYOTA LITEACE NOAH
Noah SR40 2000 M
EXTRA OPTIONS :AFTERMARKET ALLOY WHEELS 15"
Automatic gear/Aircondition/radio system
petrol engine
model 1999
TOYOTA PASSO
Anti-Lock Brakes / Driver Airbag...
Habari za leo ndugu mr.busin£ss supplier
Tunajihusisha na usambazaji wa dagaa wa kukaangwa kutoka ziwa victoria (mwanza) kwa bei nafuu kabisa ni dagaa safi wasio na mchanga ni watamu sana...
mimi ni mkulima mdogo mdogo nafanyia shughuri zangu za kilimo mkoan Morogoro wilaya ya Mvomelo maeneo ya manungu tulian (karibu na kiwanda cha Mtibwa suger), nimelima mpunga heka sita (6) na...
Wadau natafuta mteja wa nissan patrol model ya 1991 enjini ya gari ni kama mpya maana haijatumika sana wala haijawahi kufunguliwa kabisabu ina km 152,650
tatizo lake ni body tu imechoka kdg ila...
Tanzania ya viwanda ni ya kusadikika kwa ukatikaji wa umeme ulivyoshamili nchini Mwenye kuuza jenereta ya KVA 4 mpaka 6 awasiliane.ninusuru kiwanda changu cha vyerehani vinne in box plz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.