Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa uhitaji wa fundi mzuri na mwaminifu wa umeme wa majumbani na viwandani njoo inbox tuongee wala hutojutia kwa kazi nzuri nitakayokufanyia
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu ina sifa nyingi nzuri Ram 2GB Internal 16GB Betri 4000mAh Fast charge Duos (zote 3G)
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza pikipiki ya platina 125 Ina kadi Ina helmet 2 Ipo gongolamboto, dsm Mawasiliano: 0625561339
0 Reactions
21 Replies
4K Views
  • Closed
Kwa anae hitaji mkopo ndani ya masaa 24 kuanzia laki1 na kuendelea ani tafute hata pm,ila awe na vigezo hivi; .awe mtumishi wa umma(serikali) .mshahara wake uwe una pitia hazina. ukiwa tayari...
0 Reactions
148 Replies
11K Views
habari naomba vijana tuchekiane watsap +255656202162 tujuzane mabadiliko ya biashara yenye kipato zaidi.
0 Reactions
2 Replies
588 Views
Wasalaam Naomba msaada nimetenga laki 7-8 kwa ajili ya simu,je ni simu gani nzuri zaidi kwa bei hiyo ambayo itanifaa? NB;napenda sana simu nyembamba na nyepesi,pia camera bora kwa ajili ya...
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Habari ndugu wana JF. Naomba kuuliza hotel au lodge nzuri iliyopo maeneo ya baharini beach Tanga ... Nataka nikatembee kidogo nipumzishe akili yangu na stress za maisha. Msaada please
0 Reactions
2 Replies
894 Views
Wadau, Wana Vitendo SACCOS wote na wote ambao bado hawajajiunga na Vitendo SACCOS... Tunafuraha kuchukua fursa hii ya kuwakaribisha na kuwaalika nyote kuhudhuria mkutano wetu wa kawaida wa...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Nahitaji mwalimu wa tuition wa Masomo ya A - level Adv.maths, Geography na Economics.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nyumba inapangishwa iko Morogoro,kihonda magorofani karibu na St.Fransis seminary,Ina vyumba Vitatu,Master Moja na vyumba vingine viwili.Ina public toilet,kitchen na sitting room Pia Ina fance na...
0 Reactions
3 Replies
853 Views
habari wanajamvi, naweza kupata maelezo na sehemu ambapo ntaweza kupata utaalam wa kufungiwa tracker kwenye chombo cha usafiri kama pikipiki au bajaj kwa ajili ya kujua ilipo na kuona mienendo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
TOYOTA LITEACE NOAH Noah SR40 2000 M EXTRA OPTIONS :AFTERMARKET ALLOY WHEELS 15" Automatic gear/Aircondition/radio system petrol engine model 1999 TOYOTA PASSO Anti-Lock Brakes / Driver Airbag...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za leo ndugu mr.busin£ss supplier Tunajihusisha na usambazaji wa dagaa wa kukaangwa kutoka ziwa victoria (mwanza) kwa bei nafuu kabisa ni dagaa safi wasio na mchanga ni watamu sana...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
mimi ni mkulima mdogo mdogo nafanyia shughuri zangu za kilimo mkoan Morogoro wilaya ya Mvomelo maeneo ya manungu tulian (karibu na kiwanda cha Mtibwa suger), nimelima mpunga heka sita (6) na...
1 Reactions
42 Replies
9K Views
Wadau natafuta mteja wa nissan patrol model ya 1991 enjini ya gari ni kama mpya maana haijatumika sana wala haijawahi kufunguliwa kabisabu ina km 152,650 tatizo lake ni body tu imechoka kdg ila...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Outdated post
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tanzania ya viwanda ni ya kusadikika kwa ukatikaji wa umeme ulivyoshamili nchini Mwenye kuuza jenereta ya KVA 4 mpaka 6 awasiliane.ninusuru kiwanda changu cha vyerehani vinne in box plz.
1 Reactions
1 Replies
724 Views
Back
Top Bottom