Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Gari hii inauzwa ni hilux model no rzn147 iko tanga kwa mawasiliano piga no 0752500000
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Tunayo maziwa mazuri sana na halisi ya Ng'ombe ni mazuri kwaajili ya afya ya watoto na watu wazima .....Karibuni ni bei nafuu kabisa MAZIWA FRESH 5 lts (12,000) MTINDI 5lts (14,000) Tupigie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Natafta mshonaji mzuri wa majoho ya mawakili (ADVOCATES GOWN), au kama kuna mtu anafaham wapi yanauzwa mazuri. Bkama kuna mwenye nayo ancheki kwa namba 0719 815018
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama Kichwa hapo juu kinavyo jieleza.. Nauza Bucha ya samaki iliyo kamilikia, ina frizeer ft 4, Meza 3, radio, mzani wa digital na vifaa vyote vinavyo vinavyohitajika kwenye Bucha ya samaki...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Iko Arusha. Ni mpya. Bei 680,000. Mawasiliano 0786817145
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Used #Huawei Y625 5" size, 8MP,2MP cameras, 1GB RAM, 4GB internal, #Inauzwa Tshs 100,000 Used Apple #iPhone 5 4 inch,1GB RAM,16GB internal,8 MP, #Inauzwa Tshs 195,000 Used #Tecno Camon C8 5.5 HD...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye kuwa na taarifa ya au mwenye kuwa nacho naomba anijulishe. Budget Yangu ni laki moja
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wadau nipo hapa Dar es Salaaam natafuta eneo linalofaa kufungua car wash au kama kuna mwenye eneo na angetaka tuingie ubia anifuate Pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama ujumbe unavyojieleza naomben kwa alie dar anichek kwa namba 0752508163 tufanye biashara, RAM iwe ina range 6GB - 8GB
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Wakuu Nimejikakamua sana nimepata 125,000. Nahitaji simujanja iliyonyooka kwa bajeti hiyo (125,000 za awamu ya 5). Ukinipatia Sony Xperia itakuwa vema ingawa pia zingine zakaribishwa.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, kuna viwanja vipo zaidi ya kumi maeneo ya Vikindu. 47 kwa 50 kwa bei ya shilingi Million 2 na maelewano yapo. Kwa mwenye uhitaji karibu PM. Pia 20*20 vipo kwa 1m ..... Nauli ya kutoka...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
HI wana Board, Suzuki Carry inatakiwa. Iwe kwenye hali nzuri sana, namba D Offer 5,000,000/=, inazungumzika call 0715581426
0 Reactions
3 Replies
820 Views
Naomba mnielekeze lodge nzuri pale Namanga/ Longido iwe na maji ya moto na breakfast, nahitaji dereva mzoefu atakayeendesha Landcruiser hardtop short chasis prado kuanzia Arusha hadi huko na...
0 Reactions
0 Replies
817 Views
King'amz cha startimes kinaitajika anaeuza nichek 0711530251 nkupe pesa!
0 Reactions
1 Replies
460 Views
Ninauza mayai ya kienyeji kwa bei ya 10,000/= kwa trey. Kwa mawasiliano zaidi namba ni 0769345032 na 0654250816
5 Reactions
39 Replies
26K Views
CHARLII MEDIA hi! Ninatengeneza Newsletters kwa design ya biashara yako au kampuni yako; kuanzia shuleni, Ofisini au kwenye Taasisi. gharama ni nafuu sana, kuanzia Tshs. 300,000/=. ninafanya...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Wasalaam wana jamvi. Ninahitaji trekta la kukodi kwa ajili ya kulima. Shamba lipo kidomole, Bagamoyo. Ni hekari zipatazo 20, kwa mwenye treks naomba ni PM ukitaja na gharama yako kwa kila hekari...
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Mitungi ya gas kilo 15 aina ya Oryx inauzwa ikiwa na gas yake ndani, mitungi ipo saba tu na naiuza kwa sh elfu90 kila mmoja. Kwa maongezi na maelewano zaidi njoo PM
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Weka dau lako na specification zake! Muuzaji alie serious lakini
0 Reactions
4 Replies
825 Views
Nisaidieni nipate gari Nahitaji Toyota IST yenye rangi kijivu au nyeupe, namba D na iwe katika hali nzuri: low mileage, tairi nzima, haidaiwi, haijapata ajali na haijarudiwa rangi. Bei...
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Back
Top Bottom