Tunayo maziwa mazuri sana na halisi ya Ng'ombe ni mazuri kwaajili ya afya ya watoto na watu wazima .....Karibuni ni bei nafuu kabisa
MAZIWA FRESH 5 lts (12,000)
MTINDI 5lts (14,000)
Tupigie...
Habari zenu wadau.
Natafta mshonaji mzuri wa majoho ya mawakili (ADVOCATES GOWN), au kama kuna mtu anafaham wapi yanauzwa mazuri. Bkama kuna mwenye nayo ancheki kwa namba 0719 815018
Kama Kichwa hapo juu kinavyo jieleza.. Nauza Bucha ya samaki iliyo kamilikia, ina frizeer ft 4, Meza 3, radio, mzani wa digital na vifaa vyote vinavyo vinavyohitajika kwenye Bucha ya samaki...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wadau nipo hapa Dar es Salaaam natafuta eneo linalofaa kufungua car wash au kama kuna mwenye eneo na angetaka tuingie ubia anifuate Pm
Wakuu
Nimejikakamua sana nimepata 125,000. Nahitaji simujanja iliyonyooka kwa bajeti hiyo (125,000 za awamu ya 5).
Ukinipatia Sony Xperia itakuwa vema ingawa pia zingine zakaribishwa.
Wakuu, kuna viwanja vipo zaidi ya kumi maeneo ya Vikindu. 47 kwa 50 kwa bei ya shilingi Million 2 na maelewano yapo.
Kwa mwenye uhitaji karibu PM.
Pia 20*20 vipo kwa 1m ..... Nauli ya kutoka...
Naomba mnielekeze lodge nzuri pale Namanga/ Longido iwe na maji ya moto na breakfast, nahitaji dereva mzoefu atakayeendesha Landcruiser hardtop short chasis prado kuanzia Arusha hadi huko na...
CHARLII MEDIA
hi!
Ninatengeneza Newsletters kwa design ya biashara yako au kampuni yako; kuanzia shuleni, Ofisini au kwenye Taasisi. gharama ni nafuu sana, kuanzia Tshs. 300,000/=. ninafanya...
Wasalaam wana jamvi. Ninahitaji trekta la kukodi kwa ajili ya kulima. Shamba lipo kidomole, Bagamoyo. Ni hekari zipatazo 20, kwa mwenye treks naomba ni PM ukitaja na gharama yako kwa kila hekari...
Mitungi ya gas kilo 15 aina ya Oryx inauzwa ikiwa na gas yake ndani, mitungi ipo saba tu na naiuza kwa sh elfu90 kila mmoja.
Kwa maongezi na maelewano zaidi njoo PM
Nisaidieni nipate gari
Nahitaji Toyota IST yenye rangi kijivu au nyeupe, namba D na iwe katika hali nzuri: low mileage, tairi nzima, haidaiwi, haijapata ajali na haijarudiwa rangi.
Bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.