MZALENDOWAKWELIKWELI
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 331
- 212
Nina masalia ya dola za marekani niliyosave safari yangu ya ulaya. Kuliko niyauze bureau afu wapige profit kwa mteja wa mwisho bora niyauze mwenyewe, anayehitaji anipm.
Kama hujaelewa pita tuu....itakuwa haikuhusu.Akucheki ili iweje?
Asante. Vema ukaangalia profile and trustworth ya muuzaji kwanza...."dont judge something inside a bucket "Fake hizo
Bei ni negotiable....offer yangu ni midvalue ya market price. Nisikuumize wala usiniumize. Nicheki inbox kiasi unachohitaji ntakwambia kama ninacho.una dola ngapi na unauzaje per dollar
mkuu naona nikikaa na haya madafu matumizi syaelewi kbsa naweza kupata $ 32,000 untanifanyia bei gan bureau bei zao zimechangamka