Lahe hotels inatafuta proffessional manager

Lahe hotels inatafuta proffessional manager

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,634
Reaction score
1,675
Lahe hotels ya Mwanza yenye hadhi ya nyota tatu inatafuta proffessional manager mmoja mtanzania au kutoka nchi jirani mwenye uzoefu wa kuendesha hoteli na pia receptionist mmoja na waitress wawili. Simu 0715450012 au lahehotels@gmail.com
 
Lahe hotels ya Mwanza yenye hadhi ya nyota tatu inatafuta proffessional manager mmoja mtanzania au kutoka nchi jirani mwenye uzoefu wa kuendesha hoteli na pia receptionist mmoja na waitress wawili. Simu 0715450012 au lahehotels@gmail.com
Weka website ya hotel na pia weka official email, sio hiyo ya gmail.com
Usije ukawa tapeli, ukaanza kusunbua watu wakutumie pesa ili uwape hizo nafasi za kazi.!
Asante.
 
Back
Top Bottom