Wandugu hivi hapa Dar kuna anayefahamu Mahali wanapofanya biashara ya" ku Trade" in magari?yaani wanachukua gari lako la zamani, unaongeza pesa na kupewa gari jingine jipya zaidi . Yeye analikarabati na kumwuzia mtu mwingine.Hiyo biashara ingepata wateja wengi sana,uhitaji nina uhakika ni Mkubwa.inafanyika sana ulaya sijui kwetu kwa nini?