Sell your Work ,product,Get your dream Job,or show your tallent or buy things and connect with professionals and services provider at your local place on BIG MARKET
No need to call your supplier...
Eneo lenye ukubwa wa heka 3 linalo angalia barabara ya rami ya bagamoyo lipo boko barabara ya bagamoyo linauzwa lina hati iliyokamilika unaweza jenga kitu chochote hata kituo cha mafuta. call this...
Habari wapendwa!
Nauza milango ya aluminium mitatu (3),
Na milango ya chuma miwili (2)
*Imetumika mwaka mmoja tu.
Ipo katika hali nzuri,sana.
Karibu ofisini Segerea mwisho upate kuikagua
Yote kwa...
Habari za asubuhi wana jf,mimi natafuta chumba cha kupanga arusha mjini kisiwe mbali na jengo la OKI kisizidi sh 40000 kma kitapatikana tafadhali ni PM nawasilisha
Sheets To_Go wamekuletea mzigo mpya mashuka mazuri pure cotton(pamba 100%)
8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4)
Jumla kuanzia pea 10
8*8 @65000
Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
Nauza vifaa vya electronic used,vipya na vilivyotumika vikiwa katika hali nzuri sana na ubora wa hali ya juu vingi ni mtumba imported nicheki PM ofisi ipo segerea mwisho ndani ya stand...
jipatie kuku wa kienyeji ( kuku wa asili) kwa ajili ya nyama nyumbani, harusini au hotelini, pamoja na shughuli nyingne tofauti tofauti za sherehe.
idadi yeyote unayo hitaji inapatikana
bei...
Kwa wale wanaofahamu thamani ya ardhi karibuni nauza viwanja vilivyopimwa kabisa tayari kwa ajiri ya hati viwanja viko yaleyale Puna Ni km 38 kutoka ferry,viwanja ni bomba kabisa viko mita chache...
Jiimarishe kiafya...
Ishi Kiasili +255769321005
Umekuwa mtu wa kero, fedheha, heshima
imepotea na huna amani katika ndoa yako kwa
sababu umekumbwa na tatizo la....
Uume kulegea....
Uume...
01.Eneo liko nala(Dodoma mjini)umbali wa kilomita 14 kutoka town centre na kilomita 2 toka barabara kuu ya lami iendayo mwanza/tabora/singida
02.Halijapimwa bado(tunaweza kukusaidia taratibu...
Get professional sign board designing and installation at good rates from Smart IT Solutions
call:+255 652822228
whatsapp number:+255 652822228
facebook:Robert Kundi
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza nauza kiwanja kibaha karibu na Tumbi hospitali bei milioni nne na haipungui ukubwa wake ni 40*20.Picha sijaweza kuweka cause nipo mbali so nikienda nitakipiga...
Wana jamii poleni na majukumu ya kila siku
Nina bidhaa zangu zinazohitaji kupata
Package nzuri za mfumo wa box
Lakini pia zinahitaji kupata designing nzuri kwa ajili ya branding
Nauliza kampuni...
1.Kiwanja kipo maeneo ya nkuhungu dodoma mjini
2.kiwanja kina ukubwa usiopungua square metres 450
3.liko umbali wa kilomita 7 toka katikati ya mji na mita 780 toka barabara kuu ya lami iendayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.