Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama unayo ni check tafadhali iwe ya mitando hiyo ila imechakachuliwa ( universal) ni check 0715812160
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Ipo katika hali nzuri inatumia solar power, bei yake ni 1,250,000, kwa anaehitaji anicheki 0789885802
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Sell your Work ,product,Get your dream Job,or show your tallent or buy things and connect with professionals and services provider at your local place on BIG MARKET No need to call your supplier...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Eneo lenye ukubwa wa heka 3 linalo angalia barabara ya rami ya bagamoyo lipo boko barabara ya bagamoyo linauzwa lina hati iliyokamilika unaweza jenga kitu chochote hata kituo cha mafuta. call this...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuku wakubwa elfu 15 wa kienyeji Mayai tray elfu 13 Karibuni sana wakazi wa dar es salaam kuweka oda
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wapendwa! Nauza milango ya aluminium mitatu (3), Na milango ya chuma miwili (2) *Imetumika mwaka mmoja tu. Ipo katika hali nzuri,sana. Karibu ofisini Segerea mwisho upate kuikagua Yote kwa...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wana jf,mimi natafuta chumba cha kupanga arusha mjini kisiwe mbali na jengo la OKI kisizidi sh 40000 kma kitapatikana tafadhali ni PM nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
779 Views
Sheets To_Go wamekuletea mzigo mpya mashuka mazuri pure cotton(pamba 100%) 8*8 @80000(shuka 2 na foronya 4) Jumla kuanzia pea 10 8*8 @65000 Gharama ya usafiri juu ya mteja,na waliopo mikoani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nauza vifaa vya electronic used,vipya na vilivyotumika vikiwa katika hali nzuri sana na ubora wa hali ya juu vingi ni mtumba imported nicheki PM ofisi ipo segerea mwisho ndani ya stand...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
jipatie kuku wa kienyeji ( kuku wa asili) kwa ajili ya nyama nyumbani, harusini au hotelini, pamoja na shughuli nyingne tofauti tofauti za sherehe. idadi yeyote unayo hitaji inapatikana bei...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale wanaofahamu thamani ya ardhi karibuni nauza viwanja vilivyopimwa kabisa tayari kwa ajiri ya hati viwanja viko yaleyale Puna Ni km 38 kutoka ferry,viwanja ni bomba kabisa viko mita chache...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Wadau nisaidieni mwenye taarifa sahh za soko la maboga
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Jiimarishe kiafya... Ishi Kiasili +255769321005 Umekuwa mtu wa kero, fedheha, heshima imepotea na huna amani katika ndoa yako kwa sababu umekumbwa na tatizo la.... Uume kulegea.... Uume...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
01.Eneo liko nala(Dodoma mjini)umbali wa kilomita 14 kutoka town centre na kilomita 2 toka barabara kuu ya lami iendayo mwanza/tabora/singida 02.Halijapimwa bado(tunaweza kukusaidia taratibu...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Get professional sign board designing and installation at good rates from Smart IT Solutions call:+255 652822228 whatsapp number:+255 652822228 facebook:Robert Kundi
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Kama kichwa cha habari kilivyojieleza nauza kiwanja kibaha karibu na Tumbi hospitali bei milioni nne na haipungui ukubwa wake ni 40*20.Picha sijaweza kuweka cause nipo mbali so nikienda nitakipiga...
1 Reactions
9 Replies
912 Views
Wana Jf, Natafuta seat ya nyuma ya Raum new model Aliyenayo tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Wana jamii poleni na majukumu ya kila siku Nina bidhaa zangu zinazohitaji kupata Package nzuri za mfumo wa box Lakini pia zinahitaji kupata designing nzuri kwa ajili ya branding Nauliza kampuni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1.Kiwanja kipo maeneo ya nkuhungu dodoma mjini 2.kiwanja kina ukubwa usiopungua square metres 450 3.liko umbali wa kilomita 7 toka katikati ya mji na mita 780 toka barabara kuu ya lami iendayo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa tegeta a kipo karibu na barabara, umeme [emoji736] Maji [emoji736] Makazi [emoji736] sqm 1500 kwa mil 24
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom