Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Y
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mm ni mkazi wa Dar nahitaji viti vya kukodisha kwa ajili ya sherehe ndogo tu viwe vya chuma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunatoa huduma za kudesign Logo Product labels Posters and brochures Business card Calendar Billboard ID card Music covers...nk Huduma zetu ni nafuu sana Contacts: Call: 0768829357 Whatsapp...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana, wapi naweza kupata RAM ya 8 GB (4 GB X 2) kwa MacBook Pro 17-inch mid-2010? Nimefanya research, nahitaji ya OWC (PC8500 DDR3). Ni duka gani kwenye mji huu wa Makonda naweza kupata hii...
0 Reactions
0 Replies
429 Views
Nauza madera mazur yenye mitandio mikubwa. Jumla ni sh 12000 reja reja ni sh 13000 Napatikana Ilala Dar. Nicheki 0678361222 whatsapp.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Frem inapangishwa iko mabibo mwisho karibu na tanga fresh bei ni 100,000 kwa mwezi kwa anayehitaji tuwasiliane 0713 114394
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Pata senene wanene wazuri kutoka bukoba. Tupo Dar es salaam, tucheki kwa namba hizi 0656005004'0759958244
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimekata mwembe nataka kujenga, kwa anayeyahitaji, nimeshayachana vipande. Yapo Pugu kigogo fresh 0684223374
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Viwanja vinauzwa Bagamoyo jirani na Matimbwa Secondary, Kijiji cha Sunguvun, Mtaa wa Bomu.Dakika arobaini na tano kwa daladala toka njia kuu iendayo Dar Es Salaam. Ni Hekari tano na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni ya clearing and forwarding ya Real Aviation, clearing and forwarding services inatafuta patner wa kibiashara kwa malipo ya commission kampuni ina ofisi JKN terminal one na ipo mbioni...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salaam zenu wakuu, kichwa cha habari chazieleza naomba anaejua hizi saa wapi zinapouzwa anijulishe. Naomba kuwasilisha
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Habari ,kijana anatafuta mtu kubadilishana nae kituo cha kazi fani ya MTEKNOLOGIA MSAIDIZI(MAABARA) Kutoka singida Kwenda Tanga Kwa mtu alietayal kutokea tanga kuja singida tuwasiliane PM
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Hello Ladies and Gentlemen kuna chumba kwa ajili ya biashara kinapangishwa MKABALA NA IDARA YA MAJI Arusha kama una mtu unayemjua please let's me know please
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo teknolojia inavyokua, na sasa wengi wetu tunanunua vitu online...SASA Kwa mini uendelee kuibiwa na matapeli pale unapofanya manunuzi??kutofaham bei...
2 Reactions
0 Replies
592 Views
Habari wakuu. Naomba kama kuna mtu anafahamu zinapopatikana powerbank za laptop.nahitaji moja nzuri kwa ajili ya laptop yangu.
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!!Ofa!!!ofa!!!ofa!!! Ninauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa ajili ya kula na pia ukitaka kwa ajili ya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Iwepo Iringa,Morogoro,Dar au Tanga. Bajeti yangu in sh 700,000 taslimu.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Niliagiza wino ukaja kwa namba tofauti hivyo hausomi kwenye printer yangu uko piece kumi Mwenye printer inayo match na huu wino tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za usiku wana jf,mimi natafuta chumba cha kupanga arusha mjini kisiwe mbali na jengo la OKI kisizidi sh 40000 kma kitapatikana tafadhali ni PM nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
845 Views
Back
Top Bottom