Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Zinauzwa sh ngp?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari Specification zipo kwenye picha Interested? Ni pm nikupe mawasiiano
0 Reactions
0 Replies
810 Views
This is a SHOP MANAGEMENT SYSTEM (With Batch number and Barcode ) Which is Used For Managing ,Retails,whole sellers,Medical Accounts,Sales and Stocks,Inventory Management.its have Powerful Feature...
0 Reactions
0 Replies
723 Views
Tunauza Viatu vya ngozi maarufu kama viatu vya kimasai Viatu ni original ngozi na soli kutoka Kenya bei ni kuanzia 15000 maongezi yapo Tupo Tanga Handeni Karibuni sana
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Liko Mbezi Beach-Jogoo ( mita 700 kutoka barabara kubwa). Vyumba vitano vya kulala ikiwemo master bed room na baby room,sebule,dining,jiko na store Nyumba ina nyaraka zote muhimu Bei ni...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu Nimesikia majina ya waliobahatika kupata viwanja yametoka na wameandika katika maelekezo kwamba watayatupia humu. jee wakuu kuna alieiona hiyo list? Muwe na siku njema:confused2:
0 Reactions
7 Replies
7K Views
BM 800 condenser microphone mpyaa rangi ya blue Microphone stand mpya Pop filter mpya vyote kwa sh. laki 2 tu. Piga 0762 533 578
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Black Friday Offer
0 Reactions
1 Replies
816 Views
kwanza nitoe shukrani Kwa muumba aliye niwezesha kuandika jumbe hii.. Kama kichwa kinavyo jieleza.Mimi ni mama nilie amua kuachana Na kitendo cha kua tegemezi Kwa kuamua kujishughulisha...
5 Reactions
53 Replies
7K Views
Mambo matano(5) ya kuzingatia kabla hujanunua storage device yyt iwe ni FLASH, MEMORYCARD, HARD DRIVE etc 1. Nunua kwa mtu unayemwamini, kama ni duka basi hakikisha unapewa risiti 2. Hakikisha...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kama mfanyabiashara,je wajua .zaidi ya watu billion 3 Duniani wanatumia internet,je wajua watu wengi wanatumia internet kwa masaa 2 hadi 9 kwa siku,sasa basi unatakiwa kujua watu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Hellow, lam Tanzanin man who having my own vision to fight against poverty. Also numerous business plan i have are: 1.Marriage hall decoration 2.Photographer 3.Tv and film production 4.Mobile food...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
*opereshen ya kuwakomboa waliobanwa na hali inaendelea nanunua gari ndogo za 7 m kwenda chini kwa option 2 either nikulenge kwa maana nikulipe full kwa bei nzur au niuze kwa bei yako kwa kukupa...
0 Reactions
1 Replies
791 Views
Anayetaka Asali kwa jumla nicheki 0765324008.Nipo Same.. Kilimanjaro
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta nyumba au Chumba kupanga maeneo karibu na muhimbili,
0 Reactions
0 Replies
536 Views
Habari wakuu! Natumaini nyote ni bukheri wa afya kwa walio na maradhi,ni imani yangu mwenyezi Mungu atawapatia wepesi mtapona haraka ili muweze kuendelea na majukumu yenu kama kawaida...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari zenu, Ninauza mayai ya kuku chotara. Bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tu.Ninapatikana Mbezi ya Kimara. Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu ninauza mayai ya kuku chotara bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tuna patikana Mbezi ya Kimara. Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Back
Top Bottom