This is a SHOP MANAGEMENT SYSTEM (With Batch number and Barcode ) Which is Used For Managing ,Retails,whole sellers,Medical Accounts,Sales and Stocks,Inventory Management.its have Powerful Feature...
Tunauza Viatu vya ngozi maarufu kama viatu vya kimasai
Viatu ni original ngozi na soli kutoka Kenya bei ni kuanzia 15000 maongezi yapo
Tupo Tanga Handeni
Karibuni sana
Liko Mbezi Beach-Jogoo ( mita 700 kutoka barabara kubwa).
Vyumba vitano vya kulala ikiwemo master bed room na baby room,sebule,dining,jiko na store
Nyumba ina nyaraka zote muhimu
Bei ni...
Habari zenu wakuu
Nimesikia majina ya waliobahatika kupata viwanja yametoka na wameandika katika maelekezo kwamba watayatupia humu.
jee wakuu kuna alieiona hiyo list?
Muwe na siku njema:confused2:
kwanza nitoe shukrani Kwa muumba aliye niwezesha kuandika jumbe hii..
Kama kichwa kinavyo jieleza.Mimi ni mama nilie amua kuachana Na kitendo cha kua tegemezi Kwa kuamua kujishughulisha...
Mambo matano(5) ya kuzingatia kabla hujanunua storage device yyt iwe ni FLASH, MEMORYCARD, HARD DRIVE etc
1. Nunua kwa mtu unayemwamini, kama ni duka basi hakikisha unapewa risiti
2. Hakikisha...
Habari wana jf!
Kama mfanyabiashara,je wajua .zaidi ya watu billion 3 Duniani wanatumia internet,je wajua watu wengi wanatumia internet kwa masaa 2 hadi 9 kwa siku,sasa basi unatakiwa kujua watu...
Hellow, lam Tanzanin man who having my own vision to fight against poverty. Also numerous business plan i have are:
1.Marriage hall decoration
2.Photographer
3.Tv and film production
4.Mobile food...
*opereshen ya kuwakomboa waliobanwa na hali inaendelea nanunua gari ndogo za 7 m kwenda chini kwa option 2 either nikulenge kwa maana nikulipe full kwa bei nzur au niuze kwa bei yako kwa kukupa...
Habari wakuu!
Natumaini nyote ni bukheri wa afya kwa walio na maradhi,ni imani yangu mwenyezi Mungu atawapatia wepesi mtapona haraka ili muweze kuendelea na majukumu yenu kama kawaida...
Habari zenu,
Ninauza mayai ya kuku chotara. Bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tu.Ninapatikana Mbezi ya Kimara.
Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa...
Habari zenu ninauza mayai ya kuku chotara bei ya trei moja ni 12,000/- Tshs tuna patikana Mbezi ya Kimara.
Kwa atakayehitaji namba zangu ni 0685323620. Kama kuna anayejua soko la mayai kwa hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.