Habari za asubuhii
Nahitaji fundi wa mashine ya kufulia nguo anipe maelezo ya kitaalamu kuhusu mashine aina ya Nikura kwani nahitaji kununua ili nifungue dry cleaner hapa mbeya +255756417990.
Habarini za mida kwa wale wateja wa Photocopy Mashine zinapatikana aina Ya Xerox na Cannon colored and black and white pia Ploter Mashine ya ku print A0 zote kutoka uingereza
Kwa mawasiliani zaidi...
_*```KWA MAHITAJI YA VIFARANGA BORA WA KUROILER*```_
habari ndugu mfugaji tunapenda kukufahamisha kwamba unaweza pata vifaranga bora aina ya kuroiler
. Walio na afya njema wakiwa wamepata...
Kama kichwa kinavyojielezea,nauza photocipier mashine(cannon IR 2018)binding mashine,paper cutter,printer(hp)ya rangi,printer ya passport(cannon)kabati la kioo
Pia ipo meza kubwa inayoweza...
Habari wakuu
Nauza laptop yenye sifa hizi
Aina: Hp elitebook 8540w
Operating system: window 8.1 Pro 64-bit
Processor: intel core i5 nvidia, 2.4GHz
System model: HP Elitebook 8540w
RAM:4GB
DISPLAY...
Arisefarms tz ni wauzaji wa miche bora ya miti ya mbao (mitiki). Kwa gharama nafuu.
Mitiki ni mti wa mbao ngumu ambao huvunwa baada ya miaka 15 -20 baada ya kupanda.
Gharama zetu zipo ifyatavyo...
Husika na kichwa cha habari hii hapo juu napangisha nyumba ya vyumba viwili chumba na sebule mahali vilipo ni kimara baruti kwa mguu adi kuifikia nyumba ni dk 15 ila kuna bajaji zinafika adi...
Wakuu kwa yeyote ambae ana smart ambayo bado IPO kwenye hali nzuri.
Napenda iwe bado mpya,kuna MTU nimemuahidi kumnunulia simu mpya lakini bajeti yangu imeishia hapo.
Bajeti:100,000/=
Nipo Dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.