zizo12 JF-Expert Member Oct 8, 2017 278 136 Dec 10, 2017 #1 Dau nauliza hivi kombaini mashine ya kuvunia mbunga shi ngapi na inapatikana wapi tafadhali msaada
Muislaam Senior Member Jul 29, 2013 129 43 Dec 11, 2017 #2 Kwa bei sijajua. Ila kama upo dar. Nenda kurasini -mtaa wa mivinjeni waone "Agricom" wanauza hizo machines aina zote.
Kwa bei sijajua. Ila kama upo dar. Nenda kurasini -mtaa wa mivinjeni waone "Agricom" wanauza hizo machines aina zote.
Zesh JF-Expert Member Apr 27, 2017 15,381 24,979 Dec 11, 2017 #4 Wonderful said: 190m-200m Click to expand... Muogope mungu ujue hii bei vipi
Wonderful JF-Expert Member Apr 8, 2015 7,348 5,977 Dec 11, 2017 #5 zeshchriss said: Muogope mungu ujue hii bei vipi Click to expand... Ndio bei yake jombaa,au kama vipi muulize Sumry yule mmiliki wa mabus yeye kanunua kwa 600m
zeshchriss said: Muogope mungu ujue hii bei vipi Click to expand... Ndio bei yake jombaa,au kama vipi muulize Sumry yule mmiliki wa mabus yeye kanunua kwa 600m
zizo12 JF-Expert Member Oct 8, 2017 278 136 Dec 11, 2017 Thread starter #6 BIR said: Kwa bei sijajua. Ila kama upo dar. Nenda kurasini -mtaa wa mivinjeni waone "Agricom" wanauza hizo machines aina zote. Click to expand... Nashukuru kwa msaada nimefanikiwa
BIR said: Kwa bei sijajua. Ila kama upo dar. Nenda kurasini -mtaa wa mivinjeni waone "Agricom" wanauza hizo machines aina zote. Click to expand... Nashukuru kwa msaada nimefanikiwa
Zesh JF-Expert Member Apr 27, 2017 15,381 24,979 Dec 11, 2017 #7 zizo12 said: Nashukuru kwa msaada nimefanikiwa Click to expand... Umenunua sh ngapi
Lamar BlacAmerican JF-Expert Member Aug 9, 2013 950 2,260 Dec 11, 2017 #8 Nenda pale farm equip wapo nyerere road zamani pugu road karibu na jengo la quality group bei kwenye mil 70 sijui kwa sasa!!
Nenda pale farm equip wapo nyerere road zamani pugu road karibu na jengo la quality group bei kwenye mil 70 sijui kwa sasa!!