Asante sanaKwa kuanzia waone SIDO.
Kama upo dar wanapatikana maeneo ya upanga.
Pia waone AGRI COM. Ofis zao zipo Dar maeneo ya kurasini. Ukitokea posta kwenda mbgala shuka kituo kinaitwa mivinjeni. Vuka upande wa pili wa barabara .uwe kama unarudi nyuma utaona bango . Wana machines mbalimbali