Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza iPhone 5C bado mpya GB 16 inakamera safi sana nimepata tatizo kama iko interested nichek nataka 350k njoo kufanye Biashara mawasiliano 0718017596 nipo dar.
0 Reactions
4 Replies
839 Views
natafuta Sony xperia x mpya
0 Reactions
0 Replies
467 Views
Nahitaji moja ya simu tajwa hapo juu, napatikana iringa au dodoma.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta Nyumba ya kupanga nzima, iwe self container vyumba viwili hadi vitatu isiozidi laki moja na nusu, iwe iko katika mkoa Lindi, mjini
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Wadau Inahitajika gari Nissan Vannete Automatic Au Similar car Kama ipo nipm
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Kwa mahitaji ya kuandaliwa- [emoji405] FINANCIAL STATEMENTS (annual retuns). [emoji404] BUSINESS_PLAN na huduma nyingine kama vile[emoji116] [emoji116] . Wasiliana nasi kupitia:- 0658 33 99 30 au...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu poleni na majukumu. Ada ya mja kunena, wakuu nahitaji kununua corolla X, bajeti 4m Sifa za gari -Namba yeyote Ile -Iwe katika Hali nzuri Simu 0716411720
0 Reactions
21 Replies
2K Views
BITCLUB ADVANTAGE (faida) Tusambaze link tuanze somo Bitclub advantage ni muhim sana ni faida *TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE* *IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE* HII ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye carry na iko vizuri anicheck... Offer ya bei yangu tutaelezana. Namba iwe C au D
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Wakuu, natafuta kiwanja cha kujenga Arusha eneo la Njiro au Moshono, kisipungue nusu eka, eneo linalofikika lenye huduma zote, offer mkononi ninayo 30m. kwa atakayekuwa nacho, kinahitajika haraka...
5 Reactions
129 Replies
19K Views
Wakuu naomba kujua bei ya photocopy machine, printer, scanner, binding machine, projector & any stationary important equipments
0 Reactions
2 Replies
726 Views
Fundi gypsum seilling designer Kwa mawasiliano piga au WhatsApp 0718888212 0625577106
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Shinda VOCHA ya Shilingi ELFU KUMI kutoka @p2p_delivery katika msimu huu wa mwisho wa mwaka. Ili uweze kushinda fanya yafuatayo: 1. Follow akaunti ya @p2p_delivery kwenye instagram. 2. Like post...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimetumia miezi miwili tu Bei sawa na bure laki na kumi tu. Niko DSM kwa anayehtaji karb pm
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Nauza sabufa mpya aborder 160,000/= Bluetooth , usb na mengineyo yote yapo. ahsante. Namba simu : 0652612028
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Wale wataalam wa ujenzi na mafundi wa furniture naweka mbele yenu machine zifuatazo Machine zinauzwa kwa bei poa: JIG SAW MACHINE IMETUMIKA KIDOGO SANA INAUZWA LAKI. MACHINE IPO DAR Machine ya...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wadau kuna bosi kafunga duka la bidhaa ya pikipiki na bajaji na ameamua kuvi sell vyote. Kwa anayehitaji piga 0712672210.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans. Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi Karibu sana 0654919121 0758919121 0622060797 0683928358...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mimi najihusisha nakuuza na kununua vitu used ikiwa ni furniture, electronics, toys vifaa vya jikoni. kama una kitu unauza au unataka nitafute kwa namba 0712623938
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Hi all, Natafuta kijana mwenzangu mwenye chumba / geto tushee. Mpango wa kupanga mwenyewe ninao baada ya mwezi 1 au 2. Uwezo wangu kwa sasa ni kulipa kodi na gharama zingine kwa wiki au mwezi...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom