Natafuta gari (hurrier au voxy)

Natafuta gari (hurrier au voxy)

getrusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
2,150
Reaction score
1,824
Wakuu habari za humu ndani nahitaji kununua gari Hurrier model ya zamani. kidogo ikiwa na matunzo bora.

1.Iwe na utumiaji mzuri wa mafuta.
2. Isiwe imewahi funguliwa injini.
3. Iwe na rangi nyeusi.
4. Ikiwa mmiliki na mtumiaji ni mwanamke naipa kipaumbele zaidi.
5. Nipo Dar malipo ni papo kwa papo.
6. Itakuwa vema endapo nitaipata kabla ya hii January kumalizika.
kwa aliye nayo tafadhali PM.

NB; Huwa sifurahishwi na mikono ya madalali.

Ahsanteni.
 
Wakuu habari za humu ndani nahitaji kununua gari Hurrier model ya zamani.. kidogo ikiwa na matunzo bora..

1.iwe na utumiaji mzuri wa mafuta
2. Isiwe imewahi funguliwa injini..
3. Iwe na rangi nyeusi..
4. Ikiwa mmiliki na mtumiaji ni mwanamke naipa kipaumbele zaidi..
5. Nipo dar malipo ni papo kwa papo
6. Itakuwa vema endapo nitaipata kabla ya hii january kumalizika..
kwa aliye nayo tafadhari PM.

NB; huwa sifurahishwi na mikono ya madalali..
ahsanteni.
Biashara ya gari dalali hana tatizo biashara inafanyika vizuri tu anapewa commission yake na muuzaji.

Madalali wabaya ni wa nyumba na viwanja.

Bei za magari zinajurikana kama wewe ni mtu wa magari.
 
Tafadhari mwenye nayo anipigie kwa namba hii +255752995192 ni serious business.
 
Tafadhari mwenye nayo anipigie kwa namba hii +255752995192 ni serious business.
Weka ofa yako au nitumie kule Pm...Usithubutu kamwe kununua VOXY! Kama unataka Harrier au gari nyingine nitumie ofa yako kule pm then nitakushauri! Gari nazielewa
 
IMG-20180103-WA0004.jpg
 
Hapana haijafichwa bali ipo ndani ya fence ila sehemu ni nyembamba'
 
2. isiwe imefunguliwa engine?? sasa kama plugs zilichoka zikahitaji kubadilishwa kwa nn engine isifunguliwe??
Kubadili plug huhitaji kufungua injini nzima nzima. Unanyofoa tu plug chovu na kuweka mpya hata bila kugusa kingine chichote!
 
VVTI engine haifai kabisa,ni pasua kichwa kila kitu umeme na bongo mafundi wa hizi machine ni wachache na wakubahatisha,kingine bodi yake hainyoosheki,namaanisha hata ikinyooshwa shape yake haiwezi kurudi so nadhan ungechukua ushauri wa mkuu hapa.
Hizi kauli za kijiweni(am sorry to say ths bro) hivi VVTI ni engine mbaya?!wewe ndo wa kwanza nakuckia mkuu!Nimekuwa na gari za vvti engine kwa takribani miaka nane sasa na cjaona tatizo!!suala la kutonyoosheka labda sehemu iliyopata madhara ni fiber au plastic,ambayo huwezi kuinyoosha km bati,ni aidha u replace au lishonwe kimtaani mtaani!Kurudisha shape ya gari km ilipata ajali ni kazi ya fundi na vifaa vyake,wataalam wakichina wamejaa mjini hapa wanaujuzi na vifaa pia,sasa peleka hilo gari lako unaloona shape imegoma wakufanyie mambo ndo utaamini kuwa unachoongea ni story tu!!
 
Nimeamua kuuza zile nilizokuwa nazo awali anayehitaji toyota premio.! Model ya awali.. na mitsubish Gdi. Anaweza kun Pm zote ziko kwenye hali nzuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom