Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Baada ya vyuma kukaza kwa wiki kadhaa sasa nakuuzia hii simu kwa bei poa 300000 tu Sifa Fingerprint scanner Storage 32gb Ram 2gb Screen: 5.1inches Colour: white Condition: new Andriod :version...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
A.aleykum Nahitaji accoustic guiter la kununua kwa mtu,offer yangu ni elfu 80
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Mwenye carry na iko vizuri anicheck... Offer ya bei yangu tutaelezana. Namba iwe C au D
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini wakuu SON OF AFRICA COMPANY LTD Sisi ni vijana wa kitanzania ambao tunafanya shughuli mbalimbali ila leo ninaleta hii nyingine ambayo tunaianzisha ni nyumba kwa nyumba/ofisi kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mwenye nayo anicheki 0629126792.
0 Reactions
1 Replies
725 Views
Habari, Kama kuna wanaJF wa mkoa wa Songea town wapi kuna saloon ya dreadrock ?
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Habari?, Kwa Wanaotaka Kuanza Biashara Ya Fedha Za Simu Yaani M-pesa,tigopesa Na Airtel Money. Ninauza TILL Za Mitandao Tajwa Hapo Juu Kwa Bei Zifuatazo: Vodacom = 150,000 tigopesa = 120,000...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja maeneo ya dar au nje ya mji kidgo.asante
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Majenereta yote hayana tatizo, yako vizuri sana FUEL:DIESEL KVA 16' MIL 8 TZS KVA 20 MIL 14 TZS KVA 25' MIL 17 TZS KVA 30' MIL 21 TZS Maongezi yapo DARESALAAM STAKISHARI CALL 0718295182...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam Shamba lina ukubwa wa ekari 18, lipo bagamoyo, Kiwangwa kijiji cha ludiga 7km kutoka barabara Kuu ya bagamoyo - Msata. Bei ni 9.9m mazungumzo yapo. Ni shamba lenye rutuba nzuri unaweza...
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Wakuu naomba kufahamu kutengeneza website inaweza kughalimu shilingi ngapi? Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayehitaji TILL zinauzwa: Voda = 150,000/= Tigo = 150,000/= Airtel =130,000/= Halotel =130,000/= Karibuni sana kwa biashara. Ni zipo moja moja tu nilikuwa nafanyia biashara mimi sasa nmeamua...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
ANAYEUZA TILL YA VODA TUWASILIANE
0 Reactions
1 Replies
420 Views
Nyumba inauzwa Bei maelewano location Usariver, Arusha Ukubwa wa eneo 20/30 Ina vyumba 4 na sebule Maji yanapatikana Kwa mawasiliano Piga no 0762941817. 0787245182 chulapeter@gmail.com Ukitaka...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau naweza kupata mashine ya chaki
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Ina 32inch imetumika miezi 8 hapana tatizo lolote Bei 460,000 Point of correction: ni LCD TV
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Colour:white Size:5.25 inches Internal capacity: 16 Gb Ram:1.5 GB Primary camera:13mp Secondary camera:5mp Price:400,000/=
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mzigo MPYAAA.... . CHANGAMKIA FURSA HII SASA . Jee wewe ni MjasiriaMali mwenye mtaji mdogo? . Unakosaje Fursa kama hii? Ni fursa ya kipekee ya kujipatia kipato kwa haraka na Kukuza mtaji wako! ...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
For Brother MFC-J6520DW, MFC-J6720DW and MFC-J6920DW, Exp Date, 2019 Please Call 0717 624 100
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Heshima kwenu wooote wana JF. Nimekuja kuwatangazia biashara yangu nimeianzisha kama miezi 2 iliopita. Nauza dagaa kutoka Songea, wengine wanawaita dagaa wanyama. Sifa zadagaa hawa kwanza kabisa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom