Kwa wale wadau wetu wa mikoani...dar shinyanga.morogoro singida...napenda kuwataarifu MZIGO wa samaki(sangara) wanapatikana kwa bei nzuri kabisa ya 5300 kwa kilo. Weka oder yako sasa MZIGO...
Huhitaji kubadili tiles au sinki lako kisa uchafu sugu. Kiboko ya kusafisha na kung'arisha marumaru, pamoja na masinki ya aina yote ni CORE CLEANING. Jipatie bidhaa ya core cleaning yenye ujazo...
Habari za mida hii wana jamii foroum
naitwa ZAMZAM M DACHI jina la kibiashara ig page ni zababy_dachi_leather ni mjasilia mali wa bidha za ngoz kama walet sandoz za culture na mikanda ya kina...
heri ya mwakampya wajasiriamali wenzangu make najua ndo sehemu yetu hii ya kukutana.
kama mada inavyosema hapo, mimi nina shida ya haraka sana na mzani mkubwa; wenye kupima kilo zaidi ya 100 na...
Natafuta Dereva, Dar es salaam.
Awe anaishi Kawe, Mbezi au maeneo ya karibu na Mbezi Beach.
Awe na leseni ambayo ipo hai na awe mzoefu wa kuendesha gari kwenye jiji la Makonda.
Kazi ni ya...
Wakubwa ,habarini za asubuhi,ninahitaji generator used la ukubwa wa 2 kvplz naombeni maelekezo kwa wakazi wa dar nitalipata wapi na bei zipoje?? Msaada tafadhari
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Simu ni NZIMA kabisa tatizo dogo lipo kwenye display ambapo kuna nyufa zinaonekana kwa mbali.
Wahi sasa kwa muuzaji makini.
Simu_0625518288 au...
kuna jamaa alileta uzi wake jana ana huduma ya 4gb kwa elfu tatu.Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu. jana ameniunganisha imekubali wakuu .ni kweli nunueni
nilimtumia namba japo...
Wadau nina shilingi laki moja na ninahitaji kitanda cha mbao size hiyo juu..kwa bei hiyo najua kitakuwa used maana kipya sitapata..
Lakini pia nahitaji dressing table kwa maana kuwa...
Baada ya Maamuzi ya Serikali Kuhamia Dodoma, Domalyn Classic Salon wameingia Dodoma baada ya kutoa huduma Dar es Salaam. Akina dada na akina baba wanaohitaji kujiweka safi kuonekana vyema kunako...
ENEO ; kinyerez kituo kinaitwa garage karibu na flamingo bar. Karibu na barabara.
POTENTIAL: Njia kuu ya magari makubwa,soko kuu la matunda, mradi wa umeme kinyerezi na mengine mengi.
UKUBWA ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.