Habari wanajukwaa..?
Nahitaji mifuko ya plastic ambayo ni transparent kwaajili ya kupackage bidhaa zangu,ni wapi naweza kupata mifuko hiyo kwa hapa Dar Es Salaam..!?
Mfano wa mifuko:
Wakuu habarini humu ndani,
Tafadhali sana naomba mwenye uelewa wa namna ya kuvipata vioo vinavyozuia risasi, wapi vinapatikana na hatua za kuvipata.
Msaada jamani
Nyumba inauzwa,ipo mbezi ya kimara,barabara ya kuelekea kinyerezi tabata au malamba.
mita 15 kutoka barabarani.
Eneo,25×25 mt
Nyumba ina vyumba 4,kimoja master.
Sitting room 2.
Dining room 1...
Nina kuku chotara bei yake 15000@ bei ya jumla, lakini pia ninao broilers above 1kg kwa sh 6000@, napatikana madale-mashamba ya jeshi .0756391097/0719246004
Habari?
Wanajamvi, nimenunua mashine ya kutotolesha vifaranga hivyo napata changamoto ya malighafi yaani mayai. Hivyo nanunua mayai ya kienyeji yawe yanatokana na kuku halisi wa kienyeji.
Mwenye...
Ni Mayai ya kienyeji kabisa na yenye ubora Wa hali ya juu ,njoo ujipatie au weka order yako bei ni tsh. 500 kwa kila yai moja ,ukihitaji utaletewa mpaka mlangoni ,, TUNAPO SEMA NI MAYAI YA...
Wadau nauza viti vyeupe kwa wale wenye bar/Grocery au kumbi za mikutano.
Vimetumika kidogo sana (attached photos) bei ni elf12 tu,nakuletea mpaka ulipo (ndani ya jiji la Dar tu)
Kwa aliye serious...
Natafuta wawekezaji, watakaoweza kuwekeza na kunipa support(finacially) katika project yangu ya e-commerce ambayo ni yakitofauti ikilinganishwa na makampuni kama kupatana, zoomtanzania ambazo ni...
Biashara ya simu za mezani, unaweka line ya aina yoyote ile (vifurushi kama kawa),ina kaa na charge kwa siku 7,ina radio na pia inatuma na sms...kwa TZS100,000/-..ukiwa Dar city centre,delivery ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.