Viti vya kutumika bar/Grocery au kumbi!

DONALD

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
275
35
Wadau nauza viti vyeupe kwa wale wenye bar/Grocery au kumbi za mikutano...vimetumika kidogo sana (attached photos..) bei ni elf12 tu,nakuletea mpaka ulipo (ndani ya jiji la Dar tu..)
Kwa aliye serious tu...anicheki 0714 345 432..!
20180401_113407.jpg
20180401_113359.jpg
 
....Viti 100pc vyote vyeupe bado vipo,kwa anayehitaji anicheki 0714 345 432...tufanye biashara!
 
....Viti 100pc vyote vyeupe bado vipo,kwa anayehitaji anicheki 0714 345 432...tufanye biashara!
Nimeiona hii

Sasa nitakutafutia 7000 kwa kila kimoja, nitakuwa makini kama kuna vibovu tutavitoa au kupunguza Zaidi

Karibu tujadili au nipe go ahead nikutaarifu lini nipo tayari
 
Nimeiona hii

Sasa nitakutafutia 7000 kwa kila kimoja, nitakuwa makini kama kuna vibovu tutavitoa au kupunguza Zaidi

Karibu tujadili au nipe go ahead nikutaarifu lini nipo tayari
...viti ni vipya, hapo kwa picha ni vumbi vumbi...vimetumika kidogo sana...hakuna bei hiyo chief...tumia simu ziko hapo kama huko seriously na hivyo viti...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom