Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu, nahitaji viungo kama Parsely,Pilipili manga, Mdalasini,Hiliki, karafuu na garlic powder kutoka mashambani, msaada kwa yeyote anaefahamu wakulima ningependa kuchukua direct kutoka...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari za zenu wanajf! Nauza nguo za watoto za kike na za kiume za kunzia umri wa miaka miwili mpaka kumi, na ni za dukani, pia kwa ambao ana malengo ya kuanzisha duka zitamfaa zaidi maana pia...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Watengenezajiii wa madirishaa ya Alluminium pamoja na milango, Roller shutters tupo Arushaa. Contact 0767638911 Karibu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Next week naleta kilo 160-200 ambazo ni sawa na debe 18-20 za maharage rose koko kwa sh 2300 kwa kilo kama unahita naomba nipgigie hapa 0655822872 /0625539442
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Jumla na rejareja[emoji160] Rangi zote,size zote. Price : Kuanzia sh. 4,000/= Location : UDSM | Kigamboni Contacts : +255758592185 | +255656735240 Delivery ipo,unaletewa/ unatumiwa popote.
1 Reactions
94 Replies
13K Views
Salaam zenu wana jf.Kwa kifupi nafanya biashara ya nyumba ya kulala wageni(guest house) iliyopo TEMEKE. Nyumba yangu ya wageni ina vyumba saba (7) ambavyo kwa siku nina uwezo wa kuingiza tshs...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
WAKUU WENYE UFAHAMU NA MAMBO YA KUAGIZA MAGARI NAOMBA MSAADA, Nahitaji kuagiza gari kama hii niliyoweka kwenye picha: FOB Price ni US Dola 2468. Engine Size ni 990cc Na mwaka ni 2005 Je gari...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Tafadhali mkulima,dalali au mfanyabiashara wa vitunguu pitia PM kama unaweza kupata kiasi tajwa.Nitachukua kutoka sehemu yoyote Tanzania.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tunachora ramani za nyumba aina zote. Tunatoa ushauri wa ujenzi nk. Pia tutakupa gharama zote za ujenzi wa nyumba yako. karibu sana. 0654919121 0658919121
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata solar dryer hapa Tanzania. Tafadhali anielekeze. Nahitaji yenye ukubwa wa kadri inayoweza kukausha matunda au samaki.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari. Nauza Health Fitness Tracker kwaajili ya: 1. Kuhesabia hatua ulizotembea. 2. Ina pima blood pressure, kiwango cha oxygen katika damu na Heart Beat Rate. 3. Notification za missed calls...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
* Product: HISENSE RD-28DR4SA - Fridge - 215L * Model: RD-28DR4SA * Net capacity: 215 Liters * Top freezer * Number of refrigerator: 01 * Number of doors: 02 * Energy class A + * Sound level: 41...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
ENEO LINAUZWA LIPO KIMALA NG'OMBE BAGAMOYO KM 4 KUTOKA BAHARINI, LINA UKUBWA MITA 22887 ZIMEPIMWA. MAJENGO 2, VYUMBA VIWILI VYA MADARASA, OFISI NA NYUMBA YA KULALA SEBULE NA JIKO. MITI YA MATUNDA...
0 Reactions
2 Replies
723 Views
Gari ipo DSM Vibali vyote vipo kamili njoo na fundi wako ukague Nicheki PM
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jipatie mbegu bora ya papai aina ya Calina California Papaya yenye kuzaa papai had 140 kwa mwaka, papai zake ni taaam sanaa na kubwa zenye ganda gumu linaweza kustahimili kukaa had siku 14 baada...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari...Nauza ng'ombe wa maziwa kwa bei ya 1.6 million...ila maongezi yapo. Kwa uhitaji 0653201062.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mwenye hiyo ngano hapo juu nahitaji ya ku-prout fodder kwa ajili malisho ya mifugo anijulishe na bei anayouza kwa kilo moja, niko Moshi . Tel no 0714-600802
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama nilivyoeleza hapo huu,nimekutana na wakala hii kampuni na amenieleza mambo mengi kama ya ujasiriamali n.k.Sasa kidogo nimekuwa na hofu ktk gharama ninazopaswa kulipwa na Pia na uhakika wa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habarini wapendwa ninauza maharage roz koko pia napokea tenda mashuleni
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Bei chee magari ni kampuni inayojihusisha na uuzaji wa magari ya kuanzia MIL 3 kuendelea yenye hali nzuri Epuka kalaa za mwendokasi na daladala kama kukanyagana,kunusa vikwapa, wanawake...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom