Inauzwa hyo mashine
Imetumika mwaka mmoja na kuchange toner 3 jumla imetumia toner 5 hadi sasa......
1.2m fixed
haina tatizo lolote la kiufundi
Narudia ni mpyaaaaaaaaa
Ukiitaka ni PM fasta
1.2M
Ninauza mafuta ya nazi yanii pure coconut oil yaliyokamuliwa na machine (colourless kama maji yalivyo ila mazito) kuanzia lita moja kwa sh9000 napatikana Dar karibuni
Sent using Jamii Forums...
Aina ni LG,ukubwa (20 inch) number ni E2041 ni mpya kabisa kutoka kwenye maganda yake, bei ni 180 karibuuu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Natafuta laptop ya aina yeyote ile nimeshakula hela ya watu na mteja kaja anataka laptop yake,chakufanya hapa kwa mwenye laptop yeyote ilimradi tu IWE nzima iwake,port zifanye Kazi,Touch Pad...
Device sold is in a new condition FULL BOXED. 32Gb internal, 3Gb RAM, 13MP camera both sides and designed for low light clicks, 4G capability for both sim, 5.5 inch display, color black. 1920*1080...
Site ya biashara Arusha inakodishwa. inafaa kwa biashara yoyote. in umeme na maji Kufika ni vizuri zaidi kuliko picha. Kodi ni maelewano. kwa mawasiliano zaidi wasiliana na namba 0653 954094
Wadau watoa mikopo kwa riba nafuu naomba mkopo tajwa hapo juu nimepata tatizo la ghafla marejesho ni mwisho wa mwezi huu yaani tarehe 30/5/2018, napatikana dar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.