Kama linavyojieleza, ni kwamba mwaka jana mwezi wa saba nilinunua pampu kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji. Bahati mbaya nilishindwa kuanza msimu ule kwa sababu nilipata matatizo ambayo...
Toyota harrier 4cylinder vvti engine, new model 2003 Bei milioni 23 maongezi yapo kidogo Location Dar es salaam kwa mawasiliano 0659299667 ukihitaji gari aina yoyote nitafute kwa namba hiyo upate...
Ndugu wana jamvi natumai mko poa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa bei ya simu aina ya Samsung. Je kwa laki tano nitapata simu ipi ya samsung kwa hapa dar, iwe mpya na original.
nauza machine ya kuchomelea IPO katika hali nzuri ni Mpya na ya kisasa kabisa inauwezo mkubwa mpaka wa kutoboa chuma bei, 400000!
machine IPO Sengerema mwanza
mawasiliano:0752530592
Generator inauzwa bei poa sana tsh 100,000 laki moja ....
Sifa....
-Bado ina upya wake niliinunua miezi miwili iliyopita inapiga kazi kama kawaida...
-JINA lake Ni MAXTIGER..picha zinaonyesha...
Habari wadau kwa wakazi wa Mwanza,
Kiwanja kinauzwa kuna nyumba ambayo haijaisha ambayo inahitaji tofali 800 kufunga lenta ina vyumba 3 pamoja na master bed room maji yapo karibu pamoja na umeme...
Habarini ndugu wote humu ndani,
Kwa yeyote atakayehitaji kuku wa kienyeji tuwasiliane wanapatikana wengi tu bei ni rahisi itaendana na idadi ya m2 atakayohitaji ila ni kuanzia 16000 wakubwa.
GEOENGINEERS SURVEYORS LTD.
Tunatoa huduma zote za upimaji ikiwemo:
Ø #Upimaji wa viwanja vya makazi, viwanda, biashara n.k.
Ø #Upimaji wa barabara Highways, street roads n.k.
Ø #Uchoraji...
chumba masta sinza kinapatikana(Tiles +Gypsum) , kipo viizuri sana..bei 150k kwa mwezi .. kodi miezi 6..
kipo sinza karibia na law school.
wahi mapema..
wa kwanza kuweka order na mzigo ndio wa...
Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app
Anatakiwa mchawi aliyebobea ama awe wa makafara au mchawi wa matunguli ambaye atakuwa na uwezo wa kubadili hali ya mambo kwa muda mfupi sana. Mchawi huyo awe na nguvu ya kupindua mazindiko ya...
Hello everyone,
Natafuta contacts za supplier wa malachite kutoka Congo, Nina safari ya Congo kwa ajiri ya Malachite nahitaji mtu ambae yupo kule tayari.
TIA
Kiwanja kinauzwa kipo Tegeta Nyakasangwe, karibu na shule ya NuruNjema nursery & Primary school.
Kiwanja kimepimwa ila hati bado hatujakabidhiwa, kuna nyaraka za serikali za mitaa.
Urefu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.