Haya wana JF kwa mala nyingine tena Compuni yenu ya IHAM SOLAR POWER SUPPLIYER,tumeamuwa kuwaletea solar power kwa bei nafuu kabisa
kutokana na matatizo yaliyopo sasa ya umeme tumeamuwa kupunguza...
habari wana jf nauza software ya kugenerate theme yeyote ile kama vile theme ya drupal,wordpress,joomla,blogger,html5,magento,pretashop,virtuemart,bootstrap,woocommerce,na opencart
inagenerate...
SMD rework station 100,000 gun yake tu ilizingua
Fingerprint module for arduino 60,000
Speakers hizo 10,000
Motherboard hiyo utanipa 35,000
Mahali: kigamboni, Dar es Salaam
Karibuni
FAHAMU JINSI YA KUTIBU CHUNUSI .
-Ngozi za binadamu zina muundo sawa ila kitabia hutofautiana kulingana na experience za mtu huyo alizopitia,vyakula tunavyokula na msongo wa mawazo ya mtu husika...
AMD E SERIES DUAL CORE PROCESSOR
1.50Ghz PROCESSOR SPEED
4GB RAM
500GB HDD storage
15.8 inch screen
High definition display
Shared graphic card
2 usb 2.0 ports
Up to 6 hours...
Mwalimu Jackson Jasper
Managing Director
Excellent Training Center Tanzania
S.L.P 5902 DAR ES SALAAM
Alkhan road, Upanga East Ward
Call 0676450289.
Jiunge na soma QT na Resitter (PC)
Mwalimu Jackson Jasper
Managing Director
Excellent Training Center Tanzania
S.L.P 5902 DAR ES SALAAM
Alkhan road, Upanga East Ward
Call 0676450289.
Jiunge na soma QT na Resitter (PC)
Natafuta Laptop Used mtu aniuzue .
Iwe kwenye hali nzuri
Ram iwe kuanzia 3GB ikiwa 5GB itapendeza .
HDD iwe 500GB na kuendelea.
Bajeti yangu ni 300k to 250k kulingana na ubora wa PC yenyewe...
Habari.
Nauza smartwatch/fitness tracker mpya sealed yenye kufanya yafuatayo:
-Inapima mapigo ya moyo (heart rate monitor in bpm).
-Ina monitor muda uliolala (sleep time monitor)
-Ina hesabia...
Wallet za kiume za PU-Leather soft zinauzwa. Zina card slots, zipped notes pocket.
Zinauzwa elfu 15 tu kila moja. Wallet ni mpya sealed.
Nipo Ubungo DSM 0758095750
Gari nzuri inavutia sana kama inavyoonekana kwenye picha ni gari ilyotumika kistaarabu sana uwezi ata kuilinganisha na namba d ya sasa iv gari inaishi mbezi tairi mpya Sony music ndani na mmiliki...
Wakuu, hiyo Friji hapo inauzwa
bei yake ni 200,000 maongezi kidogo yapo.
Bado iko vizuri na inachapa kazi haswa!
Ukiweka maji humo ama kinywaji chochote kinaganda kama jiwe.
karibuni. Nb. Iko...
Nauza fresh meat(nguruwe) kilo shilingi elfu 7,ukihitaji kwanzia kilo kumi kuendelea unaletewa ulipo,
Nyama ni nzur sana,nguruwe kutoka moshi
Wote mnakaribishwa kuweka order zenu
+255752563313
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.