Ninauza gari Mark II Balloon kwa shilingi milioni mbili na nusu tu.
Kwa wanaopenda kuiona tuwasiliane kwa 0785 872 256. Muda wowote.
Gari inaweza kuingia barabarani, kutumika kama scraper au hata...
Habari.
Nauza fitness tracker mpya sealed yenye kufanya yafuatayo:
-Inapima mapigo ya moyo (heart rate monitor) katika bpm.
-Ina monitor muda uliolala.
-Ina hesabia hatua (pedometer) na distance...
Habarini wakuu.
Nipo Mkoa wa Mbeya na ninauza maboga mazuri sana kwa jumla na rejareja.Ninatuma mzigo popote Tz nipeni tu order zenu.Tena na mfungo huu wa ramadhani mambo safi.
Hakika nawaambia...
Naitwa yusuph ally napatikana Tanga mjini maeneo ya Nguvumali ninatangaza mauzo ya kiwanja chetu kilichopo maeneo ya KANGE DEMU kina upana/urefu{30-60} kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia...
HABARI JF MEMBA,
Mimi natafuta bidhaa inayofanana na hizo picha ili niweze kuangalia tv channel kupitia mawimbi ya satelite kwenye kompyuta yangu. Naomba kwa yeyote anayefahamu sehemu ambayo...
Nyumba ya Chumba master bedroom Na sebule jiko tam kwa pemben sehem ya kuingia mwenyewe Umeme WA kujitegemea mwenyewe Ndan ya gate na tank la maji juu full tiles and gypsum slide windows maji Yana...
Habarini za asubuh wadau, kuna nyuma inauzwa kigambon kata ya mji mwema eneo la kibugumo. Ni nyumba ambayo ipo ktika hatua za mwisho kumalizika. Kuna mambo ya yametokea kunahitajika pesa ya haraka...
Kampuni yetu inaitwa Kakoma electirical works &ICT engeneering
Huduma tuzitoazo
ICT works
1.Tunatengeneza Professional Website kwa bei nafuu(Website design)
2.Design information system...
Wakati unaendelea kutafuta kazi, kuna viwanja vinauzwa Goba kwa msumi... Ukipata Mteja bei sh 7m nicheck akinunua utajipatia sh 300,000 bila makato yoyote.... Viwanja ni surveyed, ukubwa kuanzia...
Kichwa cha habari chahusika maziwa safi ya soya ya maji yanapatikana liter Tshs 2,000/. Napatikana Dar Es Salaam, Ubungo. Ukiorder lita kumi na zaidi unaweza kuletewa ulipo. Kwa mawasiliano zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.