Nauza kampuni ya clearing and forwarding yenye leseni mpya haidiwi chochote kwa yeyote aliye interested ani PM au nicheki kwa namba 0622-027490
Post sent using JamiiForums mobile app
Anatakiwa mchawi aliyebobea ama awe wa makafara au mchawi wa matunguli ambaye atakuwa na uwezo wa kubadili hali ya mambo kwa muda mfupi sana. Mchawi huyo awe na nguvu ya kupindua mazindiko ya...
Hello everyone,
Natafuta contacts za supplier wa malachite kutoka Congo, Nina safari ya Congo kwa ajiri ya Malachite nahitaji mtu ambae yupo kule tayari.
TIA
Kiwanja kinauzwa kipo Tegeta Nyakasangwe, karibu na shule ya NuruNjema nursery & Primary school.
Kiwanja kimepimwa ila hati bado hatujakabidhiwa, kuna nyaraka za serikali za mitaa.
Urefu wa...
Salaam JF,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojinadi. Nahitaji sofa used lililo katika hali nzuri la kukaa watu wawili kwa maeneo ya Dsm, Lisiwe na kunguni Offer yangu elfu 50 tu, kama unalo...
Hi JF Members,
Nauza kiwanja changu kilichopo Kigamboni. Kiwanja kipo sehemu iitwayo Mwasonga, karibu na kituo cha daladala cha mwembe mdogo, jirani kabisa na ulipo mradi wa NSSF wa ECO Houses...
Shamba ni pori halijawahi kufyekwa, lipo bagamoyo, msata road kiwangwa kijiji cha Mwetemo. Shamba lina hati na pia lina ukubwa Wa ekari 24 na bei yake ni Tsh 12,000,0000. MAELEWANO YAPO. Kwa...
Kwa yeyote mwenye kuhitaji vitu tajwa hapo vinauzwa;
1. TV Lg inch 32 Led - ilikuwa haitumiki tangu iliponunuliwa bei 450,000 Tsh
2. Friji ndogo Elekta- Imetumika kidogo bei 300,000 Tsh
3. Home...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.