[emoji23][emoji23]kwa hela hiyo hiyo na inabaki ingia ebay au amazon tafuta used Iphone 6s, kilichotumika nje sio sawa na kilichotumika bongo, me nafaidi iphone 6 kwa Tsh. 380,000/= sichangii chaja na mtu na sio kitu kilicho zagaa
Naomba ujuzi wa kununua amazon , process zake zipo vp?kwa hela hiyo hiyo na inabaki ingia ebay au amazon tafuta used Iphone 6s, kilichotumika nje sio sawa na kilichotumika bongo, me nafaidi iphone 6 kwa Tsh. 380,000/= sichangii chaja na mtu na sio kitu kilicho zagaa
ingia kwenye jukwaa la biashara utauona uzi unao ongelea jinsi ya kufanya manunuzi mtandaoni, inachuku siku 14-21 unadaka mzigo wakoNaomba ujuzi wa kununua amazon , process zake zipo vp?
kwa hela hiyo hiyo na inabaki ingia ebay au amazon tafuta used Iphone 6s, kilichotumika nje sio sawa na kilichotumika bongo, me nafaidi iphone 6 kwa Tsh. 380,000/= sichangii chaja na mtu na sio kitu kilicho zagaa
kwa hela hiyo hiyo na inabaki ingia ebay au amazon tafuta used Iphone 6s, kilichotumika nje sio sawa na kilichotumika bongo, me nafaidi iphone 6 kwa Tsh. 380,000/= sichangii chaja na mtu na sio kitu kilicho zagaa
Umaskini wa akili ni shida sana, unaulizwa Samsung, budget 500,000/=, Dar! Unatoka ulikotoka unakuja na iPhone 6s Amazon.
Ndiyo unapata lakini mtumbaNdugu wana jamvi natumai mko poa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa bei ya simu aina ya Samsung. Je kwa laki tano nitapata simu ipi ya samsung kwa hapa dar, iwe mpya na original.
Mbona umepanic mkuu?
Anaweza akabadili wazo akahamia apple
Ndugu wana jamvi natumai mko poa. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa bei ya simu aina ya Samsung. Je kwa laki tano nitapata simu ipi ya samsung kwa hapa dar, iwe mpya na original.
Ndiyo unapata lakini mtumba
Huhuhuhu kweli SwaumuAtapata nini kikiwa mtumba?Hivi umeelewa kweli au ndio saum imekuzidia