Heshima kwenu wakuu!
Nahitaji kuanzisha biashara tajwa hapo juu wakuu,
Maeneo niliyo ya sort la kwanza ni Mbagala na Kimara.
Naomba mwenye uzoefu na biashara hii anisaidie mawazo juu ya mambo...
Model: 55UJ651
Display
Display Type
LED
Screen Size (in.)
55
Resolution
3840 x 2160
BLU Type
Edge
Video
HDR
Active HDR
└ HDR10
Yes
└ HLG
Yes
ULTRA Luminance
Yes...
Machine ya SELCOM kwa ajili kukata.
Luku
King'amuzi
Vocha zote
Tigo pesa, Mpesa, Airtel ..... n.k
Na huduma zingine nyingi.
Machine haina tatizo lolote na ina miezi 3 tu tangu niinunue Ila...
chuo cha kilimo na mifugo endelevu, mahinya mkoa wa ruvuma
kinatoa course za certificate in general agriculture and certificate in animal health and production
chuo kimesajiliwa na NACTE...
Salama Wakuu? Ninahitaji used pavement blocks, nipo Arusha. Kama unayo au unafahamu mtu aliyenayo, tadhali tuwasiliane kupitia 0754 754 593. Barikiwa sana.
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu nauza contener la futi 20 kwa pesa za kitanzania shilling million 3 contener lipo maeneo ya mbezi kwa mawasiliano zaidi kama unahitaji njoo pm
Nahitaji memory card moja yenye capacity ya 128GB.
Naomba kufahamu wapi zinauzwa na price yake, au kama kuna mtu anaziuza nicheck.
Nilipita maduka kadhaa kariakoo sijapata ya ukubwa huo, nyingi...
naitwa yustin nipo arusha ni mwanafunzi wa coz ya umeme diploma arusha technical kwa mafundi umeme ningependa kujitolea ninapokuwa na nafasi kwa mafundi wazoefu wa umeme arusha unaweza nitafuta...
Kuna taarifa kuwa wachina wananunua mihogo, na serikali imeingia mkataba. Mwenye kulifahamu hilo kwa upana naomba atufahamishe ili tuuze kwa mara moja mihogo yot
Wakuu nawasilisha
Habari Wakuu,
Hii ni kwa Walimu na Wadau elimu hasa kwa shule za Sekondari, kuna hii kazi ya NECTA ya Photo Entry kwa wanafunzi wa Form Two, Four na Six.
Nafanya kazi hii popote nchini kwa...
Habari za humu wanajamvi.
Anayefahamu ni maeneo gani hapa Dar wanauza zile board za kuchezea mchezo wa draught na chess pamoja na bei zake naomba anijulishe nahitaji kununua.
Gari ipo safi sana na inafanya kazi,ipo Manyara,usajili DJC,ina engine ya 2rz injection-petrol,inatumia mafuta vizur,kwa alie serious aje akague gar na mazungumzo yapo.nicheki kwa 0621128905
Habar wana jf
Nauza tecno k9 bei 200k ina hali nzuri ina miez 6 toka inunuliwe haina scratch yoyote ila inatatizo upande wa camera ya nyuma inasumbua ila video calls inafanction na vitu vingine...
Habari wakuu.
Naomba kufahamishwa hii mifuko ya kufungia bidhaa madukani inapatikana wapi hasa kwa bei ya kununua ili niuze kwa bei ya jumla?
Yaani nataka niwe nanunua alafu nauza kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.