Salon ya kiume/barber shop

Salon ya kiume/barber shop

NALO LITAPITA

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
333
Reaction score
90
Heshima kwenu wakuu!
Nahitaji kuanzisha biashara tajwa hapo juu wakuu,
Maeneo niliyo ya sort la kwanza ni Mbagala na Kimara.
Naomba mwenye uzoefu na biashara hii anisaidie mawazo juu ya mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na
Natakiwa niwe na shilingi ngapi ili niweze kuanzisha.
Malipo kwa vijana wa kunyoa tuseme nimeanza na viti 2 au 3 ni mshahara mwisho wa mwezi au unaweka fedha wanayotakiwa kulaza na inayobaki ndo wanachukua?.
Vipi kuhusu malipo ya umeme unalipwa na mimi kwa kuchukua katika sehemu ya fedha fixed wanayotakiwa kulaza kwangu au wanalipa wao baada ya kukamilisha sehemu yangu?
Nisaidieni na mengine wakuu ambayo kutokana na uzoefu wenu ni ya muhimu.
 
Heshima kwenu wakuu!
Nahitaji kuanzisha biashara tajwa hapo juu wakuu,
Maeneo niliyo ya sort la kwanza ni Mbagala na Kimara.
Naomba mwenye uzoefu na biashara hii anisaidie mawazo juu ya mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na
Natakiwa niwe na shilingi ngapi ili niweze kuanzisha.
Malipo kwa vijana wa kunyoa tuseme nimeanza na viti 2 au 3 ni mshahara mwisho wa mwezi au unaweka fedha wanayotakiwa kulaza na inayobaki ndo wanachukua?.
Vipi kuhusu malipo ya umeme unalipwa na mimi kwa kuchukua katika sehemu ya fedha fixed wanayotakiwa kulaza kwangu au wanalipa wao baada ya kukamilisha sehemu yangu?
Nisaidieni na mengine wakuu ambayo kutokana na uzoefu wenu ni ya muhimu.

buber shop haina faida hata kidogo
 
"buber shop" ni duka la kuuza nini wakuu?
 
Labda nichangie kidogo nilichojifunza katika management yenye unafuu maanake niko katika michakato yakufungua berbarshop hapa Morogoro.
uendeshaji mzuri wa barber shop ni wakuchukua kipande kwa kila wiki kwa kila kiti,
yaani tuseme kila j2 unachukua maduhuli yako kwa kila kinyozi mf. elf 50 * idadi ya vinyoz ulionao
manunuzi ya maji na umeme ni juu ya vinyozi, pia wale wadada wa kuosha ni mapatano kuwalipa, hapo wanaweza lipwa na vinyoz au tajiri, (vizuri wakilipwa kwa siku)
pia manunuz ya vikorombwezo (poda, mafuta, black nk.) ni vinyoz wenyewe


ninaomba msaada kwa wenye utaalamu wa mtaji wa kuanzisha berbarshop yenye heshima ikionyesha orodha ya vifaa na gharama zake, tusaidiane bandugu.
 
Labda nichangie kidogo nilichojifunza katika management yenye unafuu maanake niko katika michakato yakufungua berbarshop hapa Morogoro.
uendeshaji mzuri wa barber shop ni wakuchukua kipande kwa kila wiki kwa kila kiti,
yaani tuseme kila j2 unachukua maduhuli yako kwa kila kinyozi mf. elf 50 * idadi ya vinyoz ulionao
manunuzi ya maji na umeme ni juu ya vinyozi, pia wale wadada wa kuosha ni mapatano kuwalipa, hapo wanaweza lipwa na vinyoz au tajiri, (vizuri wakilipwa kwa siku)
pia manunuz ya vikorombwezo (poda, mafuta, black nk.) ni vinyoz wenyewe


ninaomba msaada kwa wenye utaalamu wa mtaji wa kuanzisha berbarshop yenye heshima ikionyesha orodha ya vifaa na gharama zake, tusaidiane bandugu.
Mkuu,ulifanikiwa kufungua barbershop?
 
Back
Top Bottom