Hatukufundishi ili ujibu mitihani, .... tunakufundisha ili ufanye kazi. Wasiliana nasi upate ujuzi utakaokufanya uione dunia kama sehemu nzuri ya kuishi. Yapo mafunzo tunayotoa kwa njia ya masafa...
habari wana jf!
natafuta saloon ya kike kubwa na nzuri hapa mjini,kama unaifahamu saloon yoyote kubwa na nzuri ya kike hapa Dar inayofanya hadi kupamba ma biharusi,Tafadhali unaweza kunitumia...
Ofisi zetu ziko Salasal mbele kidogo ya kanisa la Nabii Flora
Bei zetu ni nafuu na kwa kazi nzuri sana
piga simu namba 0657942817 au fika ofisini kwetu.
Tunafika kila sehemu Tanzania na nje ya...
Brand new popcorn machine
Uses electricity only
Large size
1 year warranty
300000/= only
Free delivery in dar
Whatsapp/call 0672493810
Instagram @mob_ji
Kuna kiwanja maeneo ya kariakoo
Mtaa Magila nyumba namba 13.....karibu na mtaa msimbazi.....
Bei
1.2b maongezi yapo.....
Karibuni sana....
Piga namba
Hii kwa maelezo zaidi.....
0717767875.....
Tumia IncoPOS system Kwa kumanage biashara yako vizuri
Ni mfumo wa kisasa wa kusimamia biashara yako hasahasa stock na mauzo yako
-Unaweza pata taarifa za biashara yako hata ukiwa mbali na...
Habari wakuu. Naomba kama kuna yeyote analima au anamfahamu mkulima wa zao la hops (nimeshindwa kupata tafsiri ya Kiswahili) tuwasiliane 0768734611 au 0786817145. Hops ni kile kiungo kinachotumika...
land cruiser VX diesel inauzwa bei ya kutupwa haina tatizo lolote ni kutia funguo na kuondoka
asking price 17 milioni mazungumzo yapo
ipo DSM for any serious buyer anichek 0652 646722
you wont...
Natafuta fundi wa kuchinja laptop yangu au anayenunua akarekebishe power switch, nimekata cable ya power switch bahati mbaya wakati narekebisha hinge za laptop zilikuwa ngumu sana.
Computer ni...
As per heading above. Nina kiwanja Kimbiji eka moja. Natafuta mtu wa kubadilishana naye kwa upande wa Madale, Mvumoni au Goba. kwa kuwa napenda kukaa maeneo hayo tajwa basi sitoangalia ukubwa...
Niulize chochote kuhusu samaki wa kufugwa au wanaojulikana kama samaki wa mapambo: 0712505049..
Nipo Dar. Pia nauza samaki hawa nasafirisha hadi mikoani kwa gharama ya elfu kumi hadi elfu 20...
Habari wanabodi,
Kama kichwa habari kinavyojieleza naweza kupata wapi sehemu ya kuaminika wanapouza mayai ya kuku aina ya sasso kwa ajili ya kutotoresha vilevile nikipatiwa na bei itakuwa vyema...
Habari mimi jackson fundi madishi ukiwa una shida au unahitaji kufungiwa kalibu sana popote nitafika ndani ya Dar kwa bei ya 20,000 Tu. Namba za simu 0745305256, 0625563390, 0718166275 kalibuni nyote.
Nina shida Sana na kabati la chuma kama hilo. Mwenye kuwa nalo ambae anatengeneza please naomba nijuze nalipata wapi au hata kama unajua linapatikana wapi nijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.