Unaweza ukapata kwa elfu 60agiza kupitia mtandao wa kikuu utazipata gharama yake ni kama elf 25
Haijatumika aliletewa kutoka nje ya nchiNahitaji memory card moja yenye capacity ya 128GB.
Naomba kufahamu wapi zinauzwa na price yake, au kama kuna mtu anaziuza nicheck.
Nilipita maduka kadhaa kariakoo sijapata ya ukubwa huo, nyingi zinaishia 32GB.
My regards.
Nahitaji memory card moja yenye capacity ya 128GB.
Naomba kufahamu wapi zinauzwa na price yake, au kama kuna mtu anaziuza nicheck.
Nilipita maduka kadhaa kariakoo sijapata ya ukubwa huo, nyingi zinaishia 32GB.
My regards.