Machine ya selcom inauzwa tsh. 350,000

Machine ya selcom inauzwa tsh. 350,000

Hermez

Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
9
Reaction score
1
Machine ya SELCOM kwa ajili kukata.
Luku
King'amuzi
Vocha zote
Tigo pesa, Mpesa, Airtel ..... n.k
Na huduma zingine nyingi.
Machine haina tatizo lolote na ina miezi 3 tu tangu niinunue Ila naiuza kwa kuwa nabadilisha biashara. Line za wakala tayari nimeuza zote.
Napatikana Temeke mtongani.
Call: 0718632664.
20180731_145716.jpg
20180731_145732.jpg
 
Back
Top Bottom