Fanya mauzo yako yawe rahisi!
Tumia Smart Calculator ya Dukani kurekodi kila mauzo na kuyaweka kwenye kumbukumbu.
✅ Inafanya kazi bila internet
✅ Ni rahisi kutumia
✅ Inahifadhi data kwenye simu...
Habari za muda huu wadau.
Nahitaji gari ngumu tani 10 ya kubeba mbao na vigogo maporini. Kwa yeyote mwenye nayo au anaefahamu sehemu ipo nzima na haina changamoto yeyte naomba tuwasiliane...
Anaandika Kelvin kibenje
Wengi mmeuliza kuhusu #vijora na Madera na magauni ya batiki. utayapata Mtaa wa nyamwezi na narungombe lango la kuingilia shimoni jengo la baserona. Namba vijora +255 715...
Unapoamua kuingia kwenye ulimwengu wa biashara, zipo changamoto kadhaa ambazo lazima
utakutana nazo katika harakati za utafutaji. Changamoto kubwa zaidi ni kujua wapi pa kupata bidhaa kwa bei ya...
Wewe ni Mkazi wa Dar es Salaam na unahitaji Simu Kali kwa Gharama Nafuu?
Huitaji kuhangaika mambo yawe mengi tucheki moja kwa moja dukani.
MZIGO NI MPYA & GENUINE
Pia tunafanya huduma zote ya 🔝...
15m tu, hazidi hapo.
Kanisumbua sana ila mimi sinunuagi used za TZ, kwa hio sina cha kumsaidia zaidi ya kuwashirikisha wanaJF wenzangu.
Isiwe baby woka, iwe gari ambayo akipaki tunapopaki...
Tunauza magari ya watoto kuanzia miezi 6 hadi miaka 15 tupo dar es salaam...
yapo ya rangi na size/muonekano tofautitofauti..
Unachaji siku masaa 12 na pia yanatumia rimoti,na mengine yana...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...
Habari za leo wakuu,
Naitwa Mustapha Komba, kijana mwenye bidii na nidhamu ya kazi, ninaishi Dar es Salaam. Kwa sasa ninamaliza shahada ya Health Systems Management (BHSM) Chuo Kikuu cha...
2026! | NUNUA BIDHAA TOKA MATAIFA MBALIMBALI DUNIANI NA MZIGO UTAKUFIKIA MAHALA ULIOPO
UTANGULIZI
Je, kuna bidhaa unataka kununua toka nje ya nchi kwa sababu hapa Tanzania umetafuta na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.