C CAPTAIN PHD New Member Joined May 12, 2026 Posts 1 Reaction score 0 Jul 13, 2026 #1 Nina eneo langu lipo Kigamboni, Mwasonga, lina ukubwa wa mita za mraba 2,500 (takribani nusu ekari). Je, naweza kuliuza kwa bei gani?
Nina eneo langu lipo Kigamboni, Mwasonga, lina ukubwa wa mita za mraba 2,500 (takribani nusu ekari). Je, naweza kuliuza kwa bei gani?
The Eric JF-Expert Member Joined Feb 23, 2019 Posts 6,603 Reaction score 11,322 Jul 29, 2026 #2 Milioni 12 tajiri maana hiyo ni nusu eka ilozidi