Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Naomba kama kuna mtu anauza tv kwa 150k anicheki. Habari za inchi tutaongea pm. Asante
0 Reactions
0 Replies
14 Views
ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja...
15 Reactions
499 Replies
12K Views
Wakuu habari zenu Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema Nina uhitaji wa ile chuma ya kazi iliyotumika kwa sababu bajeti yangu haitoshi kununua mpya. Natafuta Senoray cc 300 used akiwa...
2 Reactions
34 Replies
948 Views
Habari wakuu, Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, maeneo ya Afrikana, mbuyuni, Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe kwasasa kumejengeka...
17 Reactions
167 Replies
14K Views
Nahitaji kununua godoro la 5×6×10 naomba kufahamu kampuni gani ina magodoro imara na bora? Budget yangu ni 280,000.
4 Reactions
29 Replies
19K Views
Habari, Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nahitaji kuuza account yangu ya instagram yenye followers 16.4k kwa kiask cha 200,000/= Tsh. Nahitaji msaada wa kujua namna gani nitaweza...
0 Reactions
2 Replies
160 Views
Je, una wazo la biashara au tayari una biashara inayofanya kazi lakini huna nyaraka rasmi za kuwasilisha benki kwa ajili ya mkopo au kwa wawekezaji? Tumezindua Templates za Kitaalamu...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Nauza Accessories za MacBook kama Keyboard Screen Battery Chargers Ssd Ram memory Softwares Pia tunafanya services & Repair Tupo ILALA - DSM 0767953873
0 Reactions
2 Replies
59 Views
Shamba linapatikana Kijiji cha Kwa Msangazi, Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga. Shamba lina rutuba ya kutosha halihitaji mbolea ya aina yoyote ile kwa kilimo cha mazao ya chakula na biashara...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Nahitaji Fiat tajwa hapo juu,mwenye nalo au kufaham mahali inapatikana tuwasiliane please
0 Reactions
3 Replies
699 Views
Kipo kibaha kwa mfipa sehemu inaitwa galagaza, Kinauzwa 5.5M hii ni bei iliyonunuliwa cash Anayehitaji aje pm au anitafute kwa hizi namba
0 Reactions
6 Replies
56 Views
Bei/Price TSH 21M Call +255 747 999 927 TOYOTA RUMION Year: 2008 Engine: 1490Cc Mileage: 42,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Sport Rims Push To Start 100% Duty Paid Free Registration Swap...
1 Reactions
1 Replies
243 Views
Nauza FACEBOOK PAGE Ina followers 46k na Inapokea malipo (monetization). Njoo 0717743549 njoo tuongee bei.
0 Reactions
0 Replies
23 Views
Kwa mwenye uhitaji wa kutafsiriwa video au kitabu au makala kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili, whatsap/sms/piga 0756704145
1 Reactions
1 Replies
19 Views
Kama unahitaji fundi mitambo / mechanical technician ( magari, ac, lathe machine,milling machine, freezer, fridges) nipo funding full set natengeneza vitu hivyo magari, kuendesha machine za lathe...
1 Reactions
0 Replies
18 Views
Maisha yako speed. iPhone 17 Pro Max 512 GB pale iStore Mlimani City inauzwa Mil 6. Kwenye package unapata iPhone, USB C, pini ya kutolea laini na Makaratasi. Hamna kichwa cha chaja, hamna...
23 Reactions
113 Replies
2K Views
APARTMENT INAPANGISHWA MIKOCHENI PALM VILLAGE __ Vyumba 2 vya kulala, kimoja master Sebule Jiko Barcon Choo cha familia Parking free Swimming pool free Water free Umeme luku yako Ulinzi free...
0 Reactions
2 Replies
220 Views
Shamba zuri lenye ukubwa wa ekari mbili linauzwa. Shamba liko Saeni Misugusugu Kibaha maarufu kama Zogowale. Linakaribiana na maeneo ya uwekezaji wa viwanda hivyo ukinunua unakuwa umejiwekea...
2 Reactions
50 Replies
651 Views
Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri? Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja. Tunatoa...
8 Reactions
323 Replies
3K Views
A strategically located 376 sqm commercial plot is available for ground lease in Ubungo Msewe, offering easy access to Morogoro Road and the EACLC Ubungo Interchange. Property Details Location...
0 Reactions
0 Replies
173 Views
Back
Top Bottom