Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 139
- 507
MAZDA VERISA L 2011 MODEL Fresh Import Ndo Imefika na MELI [WISODOM ACE] ndo inashusha KM 80,400 CC 1490 AT Petrol 2WD Price 17.7M + Usajili, Picha zaidi na Final OFA Contact 0714547598
Kuna option za used Bongo Mzee zinakua bei chini zaidiBei za magari kwasasa ni HATARI ,kwasisi wa kuungaunga ambao hatuna mikopo kumiliki PIRA ni ngumu.
Kununua gari used - 3rd Hand Bongo ni kujitakia pressure ,ni mara mia nichukue gari lilitembea miaka 10 JAPAN kuliko lililotembea miaka miwili Bongo kwa same model.....Bongo miundombinu na services ni mitihani tofauti na kwa wenzetu miundombinu imara na services ipo kisheria.Kuna option za used Bongo Mzee zinakua bei chini zaidi
Nakubaliana na wewe 100% ila kuna raia pia wanatunza magari vizuri sana hapa nchini hata wakiyatumia yanakua bado katika hali nzuriKununua gari used - 3rd Hand Bongo ni kujitakia pressure ,ni mara mia nichukue gari lilitembea miaka 10 JAPAN kuliko lililotembea miaka miwili Bongo kwa same model.....Bongo miundombinu na services ni mitihani tofauti na kwa wenzetu miundombinu imara na services ipo kisheria.
Utalitunza fresh ila Miundombinu itakuangusha itakuwa Trip Road Trip Gereji Mikono Mingi daily linaharibu ubora na ndiyo maana mafundi wetu wakiona kitu kimepigwa sana Spana wanajua hamna kitu hapo.Nakubaliana na wewe 100% ila kuna raia pia wanatunza magari vizuri sana hapa nchini hata wakiyatumia yanakua bado katika hali nzuri
Kabisa mkuu, nilivagaa gari moja used hapa bongo Ila ni latest model ukilinganisha na nyingi zilizopo hapa bongo… mjomba richa ya uimara na sifa tele ilizonazo ile gari ila niliishia kuacha pesa nyingi garage hadi akatokea mteja alieipenda nikamuachia maana hata body yake bado inaita ila parts nyingi ni changamoto zimechoka imekuwa ni za kubadilisha kila leo.Kununua gari used - 3rd Hand Bongo ni kujitakia pressure ,ni mara mia nichukue gari lilitembea miaka 10 JAPAN kuliko lililotembea miaka miwili Bongo kwa same model.....Bongo miundombinu na services ni mitihani tofauti na kwa wenzetu miundombinu imara na services ipo kisheria.
Hakika mkuuBei za magari kwasasa ni HATARI, kwasisi wa kuungaunga ambao hatuna mikopo kumiliki PIRA ni ngumu.
Duh ndio mkuu bongo nyoso bora ukomae tu uagize used ya Japan sio bongoKabisa mkuu, nilivagaa gari moja used hapa bongo Ila ni latest model ukilinganisha na nyingi zilizopo hapa bongo… mjomba richa ya uimara na sifa tele ilizonazo ile gari ila niliishia kuacha pesa nyingi garage hadi akatokea mteja alieipenda nikamuachia maana hata body yake bado inaita ila parts nyingi ni changamoto zimechoka imekuwa ni za kubadilisha kila leo.
Used za Bongo ni mtihani.Kuna option za used Bongo Mzee zinakua bei chini zaidi