Za leo wandugu, nimefurahi sana kupata hii site baada yakudokezwa mamboz yake na lafiki yangu kipenzi. Natumaini tutashirikiana kwa kila jambo.
Pengine kwa kuanza ningependa kufahamu what are...
Naomba kukaribishwa jamvini ili nami niweze shiriki kusoma na kuchangia hoja zilizokwenda shule ndani ya jamiiforums.
Nahisi kukosa uhondo uhondo mwingi kwa kuwa mtazamaji pasipo kuwa mchangiaji...
Wana jumuiya wa JF naomba kujitambulisha ukumbini.
Natarajia kujifunza mengi kutoka kwenu wanajumuia nami kuwajuza yale niliyokuwa nayo,Tupo pamoja shukurani.
I have been a visitor to JF, for a long time.
I've come in at last.
May I say Hodi hapa ukumbini wana-mapinduzi.
Mnanipa ushauri gani ili niwe sawa hapa JF?
Believe it or not, guys, I joined in JF five month ago, but forgot to introduce myself to you my fellow members due to being so much excited with every single thing I happened to come accross with...
Dear all,
Kwa heshima na tahadhima napenda kuchukua fursa hii adimu kuwasalimieni wote wana JF.
Ni ukweli usiopingika kwamba njii hii ya mawasiliano inatupatia fursa ya kuweza kupata mitazamo...
Mabibi na Mabwana,
Naingia na kujitosa katika hii jumuia ya jamii forum kama member mpya kabisa. Natarajia kujifunza mengi kutoka kwa wanajumuia waliotukuka katika kila aina ya nyanja katika...
The Mbagala bombs have scared me a lot!! I have not much to say today except that in addition to being scared, I am sorry for not saying a word this long.
Hello to every one here at Jamii Forums!
It is a pleasure to join in and I look forward to many discussions and contributions on various topics that will enlight us all on issues that matter to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.