Jamani naomba nipate kibali mbele yenu wadau mliotangulia.mimi ni mpya na napenda kuwa mmoja wenu ili kuongeza uwezo wa kutafakari na kufikiri,Ahsanteni.Niko dzm kitunda mwanagati.jina ni hassani ally
1-How did you hear about this forum?
Gnasha whispered it to me......
2-What is your impression about this forum?
Super-so far...
3- How old are you and what is your nationality?
Classified...
Hi everybody - My name is Krupa and I work of behalf of Amnesty International. I am here to join in as I too am a fellow Kenyan that now lives abroad, however, its nice to keep in touch with all...
Za leo wandugu, nimefurahi sana kupata hii site baada yakudokezwa mamboz yake na lafiki yangu kipenzi. Natumaini tutashirikiana kwa kila jambo.
Pengine kwa kuanza ningependa kufahamu what are...
Naomba kukaribishwa jamvini ili nami niweze shiriki kusoma na kuchangia hoja zilizokwenda shule ndani ya jamiiforums.
Nahisi kukosa uhondo uhondo mwingi kwa kuwa mtazamaji pasipo kuwa mchangiaji...
Wana jumuiya wa JF naomba kujitambulisha ukumbini.
Natarajia kujifunza mengi kutoka kwenu wanajumuia nami kuwajuza yale niliyokuwa nayo,Tupo pamoja shukurani.
I have been a visitor to JF, for a long time.
I've come in at last.
May I say Hodi hapa ukumbini wana-mapinduzi.
Mnanipa ushauri gani ili niwe sawa hapa JF?
Believe it or not, guys, I joined in JF five month ago, but forgot to introduce myself to you my fellow members due to being so much excited with every single thing I happened to come accross with...
Dear all,
Kwa heshima na tahadhima napenda kuchukua fursa hii adimu kuwasalimieni wote wana JF.
Ni ukweli usiopingika kwamba njii hii ya mawasiliano inatupatia fursa ya kuweza kupata mitazamo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.