Kama nimeelewa swali lako. Lengo la serikali ni kuwaepusha watu hapo baadae kwani ingefika mahali watu wengi wasingeweza kuvuna, ni wachache tu wangefaidika. Lakini serikali hata hivyo imechelewa kwani tayari watu wengi hawajui hatima ya mbegu zao kama ni nzima au zimeoza!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.