Nimejiunga rasmi hapa kijiweni(jf)leo hii,inasemekana hapa is a place where any one can dare to speak open;OK ,naomba kuwa uliza enyi wakongwe wa kijiwe-kwanini hapa kijiweni 99.9% yenu...
Habari wanajf. I'm a newmember & i would love your support. I have written a threas on the jukwa la siasa forum & the thread is called Tanzania & the East African community. Please read it &...
Hi All,
Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!:)
I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more.
Nitashukuru mkinikaribisha..
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU...
waungwana najitambulisha na kuchukua nafasi hii kujiunga nanyi, nataraji kuelimika na kuelimisha kwa yale tutakayochangiana.........
asanteni sana kwa post moto moto
Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa...
Naitwa wasunuka,nimekuwa nikifuatilia sana jamii forums kwa muda mrefu sasa na nimeamua kujiunga ili tuwe na nguvu kubwa ya kuleta maendeleo katika nchi yetu na africa kwa ujumla,Napenda...
Naitwa Achiwa Lila. Nawasalimu kwa furaha tele..
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mawazo, maswali na majibu mbalimbali katika JF. Kwa kweli yamenifurahisha, yamenifariji, na yananipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.