Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Toka Februari 2009 nimekuwa msomaji wa mara kwa mara wa mijadala humu. Sasa msomaji nimekuwa mchangiaji SM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
waungwana najitambulisha na kuchukua nafasi hii kujiunga nanyi, nataraji kuelimika na kuelimisha kwa yale tutakayochangiana......... asanteni sana kwa post moto moto
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hodi wana-JF, naomba ukaribisho!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeamua kujiunga na mimi asanteni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi jf members
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakuombeni mnipokee wanaJF niweze kupata mengi kutoka kwenu ikiwezeka nanyi mengi kutoka kwangu Rgds Bacteria
0 Reactions
4 Replies
2K Views
salute you all! napenda kuchukua fursa hii kuwasalimu wa jf wote! naomba ushirikano wenu,TGIF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A new member is here and wishing to stay alive in forum, so I hope u will receive me.....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi! Habari wanaJF wote, Ninaomba kupokelewa kwenu, natuamini nitapata mengi kutoka JF na nikijaaliwa mtapokea pia kutoka kwangu. Ahsante, Mama Joe
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa heshima na taadhima, nawasalimu wapenda maendeleo wenzangu. Tuko pamoja.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naitwa wasunuka,nimekuwa nikifuatilia sana jamii forums kwa muda mrefu sasa na nimeamua kujiunga ili tuwe na nguvu kubwa ya kuleta maendeleo katika nchi yetu na africa kwa ujumla,Napenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naitwa Achiwa Lila. Nawasalimu kwa furaha tele.. Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mawazo, maswali na majibu mbalimbali katika JF. Kwa kweli yamenifurahisha, yamenifariji, na yananipa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hello JF members! Ahsanteni kwa kinipokea kamw meber wenu mpya.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wapendwa katika Janvi, napenda kujitambulisha kwenu ili nami niweze kuwa miongoni mwenu katika jamii hii ya watu wenye akili na talenti mbalimbali.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
i really am so glad to be here, home of great thinker...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Naona kuna memba mpya mwenye majina ya W. J. Malecela. Natabiri atakuwa William John Malecela, kama ni yeye napenda kumkaribisha jamvini. Tunatarajia mengi toka kwako mkuu
0 Reactions
83 Replies
18K Views
I want to give thanks to all JAMII FORUMS for introducing these web, where by you are free to speak out, in this you deserve the best as you are the best. All in all this is my first time to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi! JamiiForums My name is John Kitabi, i'm mechanical engineer by professional, i wanted to say hallow to all members of JF and lets exchange ideas for better future
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom