Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodi hodi ,naingia ndani Jina langu, ni siri yangu Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa Hodi hodi naingia ndani. Hodi hodi, naingia ndani Kaka dada, baba mama Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dear Jamii, How are you? I am Emanuel Feruzi. I am a Free Software Consultant for FreeCode International. Also I am the founder and still an active member of the tzLUG. I am here to learn and to...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wana JF, sijui ni ushamba...nimeshtukia hii site tu...nilikuwa natafuta site nyingine kabisa...laiti ningalijua mwanzoni.Niko Toronto Canada..ni katika wale waliochoka siasa za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hi people am looking forward to having goodtimes,great chats and making lots of new friends.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hamjambo nyote? Nawasalimia kwa moyo mkunjufu na kwa wakati huu nasema kwaheri ya kuonana. Hadi wakati mwingine masalaam.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimejiunga rasmi hapa kijiweni(jf)leo hii,inasemekana hapa is a place where any one can dare to speak open;OK ,naomba kuwa uliza enyi wakongwe wa kijiwe-kwanini hapa kijiweni 99.9% yenu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
just want to say am new in this forum, i think i will enjoy the whole thing Nina
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajf. I'm a newmember & i would love your support. I have written a threas on the jukwa la siasa forum & the thread is called Tanzania & the East African community. Please read it &...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi All, Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!:) I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more. Nitashukuru mkinikaribisha..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Toka Februari 2009 nimekuwa msomaji wa mara kwa mara wa mijadala humu. Sasa msomaji nimekuwa mchangiaji SM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
waungwana najitambulisha na kuchukua nafasi hii kujiunga nanyi, nataraji kuelimika na kuelimisha kwa yale tutakayochangiana......... asanteni sana kwa post moto moto
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hodi wana-JF, naomba ukaribisho!!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nimeamua kujiunga na mimi asanteni
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hi jf members
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakuombeni mnipokee wanaJF niweze kupata mengi kutoka kwenu ikiwezeka nanyi mengi kutoka kwangu Rgds Bacteria
0 Reactions
4 Replies
2K Views
salute you all! napenda kuchukua fursa hii kuwasalimu wa jf wote! naomba ushirikano wenu,TGIF
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A new member is here and wishing to stay alive in forum, so I hope u will receive me.....
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom