Hodi hodi ,naingia ndani
Jina langu, ni siri yangu
Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa
Hodi hodi naingia ndani.
Hodi hodi, naingia ndani
Kaka dada, baba mama
Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009...
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini...
Dear Jamii,
How are you? I am Emanuel Feruzi. I am a Free Software Consultant for FreeCode International. Also I am the founder and still an active member of the tzLUG. I am here to learn and to...
habari zenu wana JF,
sijui ni ushamba...nimeshtukia hii site tu...nilikuwa natafuta site nyingine kabisa...laiti ningalijua mwanzoni.Niko Toronto Canada..ni katika wale waliochoka siasa za...
Nimejiunga rasmi hapa kijiweni(jf)leo hii,inasemekana hapa is a place where any one can dare to speak open;OK ,naomba kuwa uliza enyi wakongwe wa kijiwe-kwanini hapa kijiweni 99.9% yenu...
Habari wanajf. I'm a newmember & i would love your support. I have written a threas on the jukwa la siasa forum & the thread is called Tanzania & the East African community. Please read it &...
Hi All,
Nafurahia kujiunga Dimbani mwenu ikiwa mtanikubali!:)
I am still trying to get my way around and hopefully when I do, we'll get to know each other more.
Nitashukuru mkinikaribisha..
hodi.. hodi nyumba hii.... mimi ni mgeni eneo hili naomba mnikaribishe kwani mimi ni ndege mtulivu nisiye na matata nimeruka toka MOA, MANZA BAY NIKAFIKA TANGA MJINI , NIKARUKA MPKA HUKU...
waungwana najitambulisha na kuchukua nafasi hii kujiunga nanyi, nataraji kuelimika na kuelimisha kwa yale tutakayochangiana.........
asanteni sana kwa post moto moto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.