Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodi wana JF? Kwanza habari zenu? Naomba mnipokee katika Forum hii ya jamaa. Ni mimi Malaika mweupe.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani ndani hodini, hamjambo afya zenu Najiingiza kundini, naomba karibu zenu Nijipenyeze pembeni, niweze kuwa wakwenu Mzizi wa Mbuyu laivu, jamiini naingia Wakuu wa tafakuri, nipeni japo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni Emma, Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli. Naomba ruhusa nianze kujumuika na wana jamii. Naahidi kufuata sheria za forum hii murua, Nitakuwa mimi kwa mitazamo yangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Asalam Alekum wana JF
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana wa JF, Mimi ni mgeni kabsaa, natoka kijijini. Nimengia hapa juzi tu. Nafurahi kuwa mmoja wa jamii hii. Kagwina
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hello! fred
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Just got in, ready to share constructive ideas and knowlege with JF members.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo! Mimi i mwanachama mpyaaaaaaaaa katika kndi tafadhali nikaribisheni ili nami niweze chagia na kuibua changamoto mpya na kujenga jamii yetu. Wazeyaaaa yaliyomo yamo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Just to say HI!!!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hamjambo wana JF? Hii forum inaelimisha mambo mengi, kweli ni Home of great thinkers, tudumishe hili kwa kuandika katika lugha safi,ili tuendelee kujifunza na kuburudika pia.Ahsanteni wenzangu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hi to all out there
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hey all! Hope you guyz in this wing re purely cool Just wanna say hello as my JF openin remark Stay Blessed ALL
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi Guys!!! Am I invited?? Star
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hodi hodi ,naingia ndani Jina langu, ni siri yangu Mdanganyika2009, ndivyo nimeitwa Hodi hodi naingia ndani. Hodi hodi, naingia ndani Kaka dada, baba mama Nawasihi mnipokee, mdanganyika2009...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dear Jamii, How are you? I am Emanuel Feruzi. I am a Free Software Consultant for FreeCode International. Also I am the founder and still an active member of the tzLUG. I am here to learn and to...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wana JF, sijui ni ushamba...nimeshtukia hii site tu...nilikuwa natafuta site nyingine kabisa...laiti ningalijua mwanzoni.Niko Toronto Canada..ni katika wale waliochoka siasa za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hi people am looking forward to having goodtimes,great chats and making lots of new friends.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambozzz wenye nyumba na wenyeji. Naomba kukaribishwa jamvini. Waislam Assalaam Alaikum, wakristo Bwana Asifiwe, wengineo nawasalimia.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hamjambo nyote? Nawasalimia kwa moyo mkunjufu na kwa wakati huu nasema kwaheri ya kuonana. Hadi wakati mwingine masalaam.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom