Mabibi na Mabwana,
Naingia na kujitosa katika hii jumuia ya jamii forum kama member mpya kabisa. Natarajia kujifunza mengi kutoka kwa wanajumuia waliotukuka katika kila aina ya nyanja katika...
The Mbagala bombs have scared me a lot!! I have not much to say today except that in addition to being scared, I am sorry for not saying a word this long.
Hello to every one here at Jamii Forums!
It is a pleasure to join in and I look forward to many discussions and contributions on various topics that will enlight us all on issues that matter to...
Mimi ni Emma,
Mwanamke mpenda haki, mtoa haki, muwazi na mkweli.
Naomba ruhusa nianze kujumuika na wana jamii.
Naahidi kufuata sheria za forum hii murua,
Nitakuwa mimi kwa mitazamo yangu...
Mambo!
Mimi i mwanachama mpyaaaaaaaaa katika kndi tafadhali nikaribisheni ili nami niweze chagia na kuibua changamoto mpya na kujenga jamii yetu. Wazeyaaaa yaliyomo yamo?
Hamjambo wana JF? Hii forum inaelimisha mambo mengi, kweli ni Home of great thinkers, tudumishe hili kwa kuandika katika lugha safi,ili tuendelee kujifunza na kuburudika pia.Ahsanteni wenzangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.