Thanks for the stage but, I want my vote Back! Let's support these Iranians, they need our backing. Kikwete represented us when we backed our friends in Kenya, let's do this together! WHERE IS MY...
Jamani hivi nyie vipi wasela??
mbona naingia halafu sikaribishwi???
Nitasusa mimi au mnabisha?????
Kama hamjambo hiyo hainihusu ila nawasalimia tu kwa jina la Amani na Upendo
Ndugu zangu wote hamjambo humu ndani?
Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na...
Nimekuwa nikisoma jamiiforums kwa muda mfupi sasa na kugundua kuwa nimejifunza mengi kwa kipindi hiki kifupi. Kwa misingi hii nimeonelea ni vyema nikajiunga rasmi na Jamvi hili baada ya kuwa...
Assalamu alykum
New here to forum and wanted to say hi to all here. Very pleased to finally join thinkers as I've been looking at it for some time now. Hoping to be somewhat active here and...
Hodi hodi jamani wana JF....huyu si mwingine bali ni Mkaruka Giledi (Tata Giledi) wa Etaro Makao hadi Ekungu,kwa wale abhagangaji wamenisoma hapoooo....ndani ya jumba la wana JF...Ahsanteni sana...
Nimejaribu Pita Pita katika JF nakuipenda na ni matumaini yangu kuwa Wana JF Mtanilea vizuri!
你好!Nihao! -Habari!
我 wo-mimi
你 ni-Wewe...
ukimsikiliza mh,rais wetu anavyosisistiza kuhusu kilimo kuanzia kwenye pesa za epa mpaka kwenye bajeti nabaki najiuliza kitu kimoja pesa hizi mkulima wa kawaida atazikopa vipi hana dhamana ya...
Ndiyo tu nimejiunga na forum hii. Naahidi kuwa mwanachama productive nitakayeshiriki katika mijadala kwa hoja. Ninaleta post yangu ya kwanza muda si mrefu ujao.
Habari zenu wenzangu, Shikamooni wazee. Mi si mgeni, ila sikuiona hii sehemu ya kuamkia nilipojiunga. Jah bless, One Love - One Aim - One Destiny.
PamoJah.
Mfalme hapa. Ingawa nimeshajibujibu kidogo kwenye habari kadhaa, lakini mimi bado ni mgeni hapa ukumbini. Nimeona nisalimie kidogo na kujitambulisha.Tuko pamoja, naomba mnipokee wandugu.
Mfale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.