Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wandugu wenye uchungu na "nji" hii...yaani mambo yamekuwa mengi sana hapa mjini ila nimekuwa nikisoma sana daily ma-updates yanayotumwa straight kwenye e-mail yangu lakini mchango wangu umekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki --...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naskia pouwa sana kujiunga na JF, naitwa Msilu Jr, hodi hodi JF members...!:)
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimeamua kujiunga na jamii forum. Baadhi ya utambulisho wangu, 1. Sipendi matusi 2. Napenda mada zenye kuheshimu watu 3 Mimi ni mtetezi wa wanawake. 4. Napenda Injili na nyimbo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Am kiruke cha ibwe. Nafurahi kujiunga na jukwaa hili la great thinkers. Am sure I will learn alot from you guys. Nipokeeni jamani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mimi kama mnavyonisoma hapo naitwa Peter Mtemiwao......nipo kanda ya ziwa(mwanza) nimefurahishwa na michango yenu waheshimiwa wanajamii........Nikaribisheni tuendeleze libeneke cheers
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa muda nimekuwa nafaidika na mawazo na mchango wenu..asanteni. Naomba kujiunga nanyi iwapo mtanipokea.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Thanks for the stage but, I want my vote Back! Let's support these Iranians, they need our backing. Kikwete represented us when we backed our friends in Kenya, let's do this together! WHERE IS MY...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hodi ndugu zangu, nikaribie mpaka wapi???
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hivi nyie vipi wasela?? mbona naingia halafu sikaribishwi??? Nitasusa mimi au mnabisha????? Kama hamjambo hiyo hainihusu ila nawasalimia tu kwa jina la Amani na Upendo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi everyone! I've finally decided to be a member,after reading very good Topics and Comments as a Guest.Hope you welcome me into your group.Tks.:D
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu wote hamjambo humu ndani? Najiunga rasmi kundini, lakini mimi niko tofauti kidogo kwani "ntabase" kwenye jinsi JF itakavyotunisha kamfuko kangu, nimeona kuna resources kibao humu na...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisoma jamiiforums kwa muda mfupi sasa na kugundua kuwa nimejifunza mengi kwa kipindi hiki kifupi. Kwa misingi hii nimeonelea ni vyema nikajiunga rasmi na Jamvi hili baada ya kuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hellow Every one,pls welcome me into jamii forum and we will be together for any support.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Assalamu alykum New here to forum and wanted to say hi to all here. Very pleased to finally join thinkers as I've been looking at it for some time now. Hoping to be somewhat active here and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hodi hodi jamani wana JF....huyu si mwingine bali ni Mkaruka Giledi (Tata Giledi) wa Etaro Makao hadi Ekungu,kwa wale abhagangaji wamenisoma hapoooo....ndani ya jumba la wana JF...Ahsanteni sana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wana jamvi mimi ni mwana jamvi mpya tafadhari nipokeeni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimejaribu Pita Pita katika JF nakuipenda na ni matumaini yangu kuwa Wana JF Mtanilea vizuri! 你好!Nihao! -Habari! 我 wo-mimi 你 ni-Wewe...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hamjambo wanajamii?nimefurahi kujiunga ndani ya jukwaa hili.Hongereni kwa yote mema mnayoyafanya.Tuko pamoja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nabisha hodi wakuu wana JF kijana wenu/mdogo wenu najiunga jamani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom