Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hello My people nimefurahia kuona hii Forum Pekee yaki Tanzania! mimi ni Mtanzania. My name(jina):Khalid Salim I live :in Dares Salaam Nina miaka:18 Ninapenda na kujua mambo mengi ya software and...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naitwa lovulovu, mkazi wa jijini, mpagani kwa dini au kwa lugha rahisi kafiri. nimefurahia sana mtandao huu nami naomba mnikaribishe tuungane tuweze kubadilishana mawazo hasa hili la kutaka eti...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Have you ever thought why most of Africans (it might be even you) dont have tradition of reading books and other wtittens. LET US CHANGE BY DOING IT.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kanisa katoliki laipa shavu serikali ya JK JK akiwa na Askofu Norbert Mtenga na Naibu Waziri wa Miundombinu Dk Milton Mahanga na msafara wa baba Askofu Mtenga leo Ikulu jijini Dar Na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kanisa katoliki laipa shavu serikali ya JK JK akiwa na Askofu Norbert Mtenga na Naibu Waziri wa Miundombinu Dk Milton Mahanga na msafara wa baba Askofu Mtenga leo Ikulu jijini Dar Na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
LOl ....kumbe nilikuwa sijajitambulisha?kweli mi kilaza.anyway washkaji nipo. BATA nawakilisha,pamoja daima wana JF
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi JF! Najifunza kutembea nikipasua vyombo msishangae. Kichanga hachapwi. HODI Wana JF! Eti kuna Changu-utumishi badala ya Changudoa?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hodi wana jf naombeni mnipokee
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hi wanajamii, wakubwa shkamoo ,wadogo marahaba,nimejiunga nanyi rasmi .
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa wapenda nchi naomba kuingia jamvini, nawaletea salamu nyingi sana toka Porini..........
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana Jamiiforum, Nimeamua kuja kuishi hapa. Nimekuja na salamu nyingi saana kutoka Gairo. Gairo wanasema wanawapata. Najua nimeshakaribishwa
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa la JF. The forum seems to be very educative and entertaining. I've been following the topics in here for quite some time now,nimeamua kujiunga ili niwe sehemu ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naitwa Nakilo, nafurahi hatimaye kujuinga na JF, mambo mengi yanajadiliwa humu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wajumbe wa jamiiforums assalam aleykum,nimeamuwa kujiunga na jamiiforums niweze kujuwa nini kinatokezea na mimi niwe mmoja niweze kutoa mchango wangu,nakummbeni mnikaribishe. pharow
0 Reactions
1 Replies
934 Views
Mi msichana toka Ugerman, nasoma udaktari. nafurahi kuwa nimekuta JF. Natamani mnanipa nafasi ya kuboresha kiswahili yangu. Kwa hiyo kama labda nakosa grammar msichukie.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimekuwa mpenzi wa hili jamvi,na leo nimeamua kupiga hodi nikaribishwe kikaoni badala ya kuwa mshuhudiaji kwa mbali.natumaini kupokelewa na kujifunza mengi toka kwenu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mgosi says hi ! with much respect to you guys.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Penye wengi kuna mambo, ndugu zanguni nimetinga naomba mnipokee. 'The whole is greater than the sum of its parts'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hellow wanajamii, nikaribisheni ili tuwe pamoja katika kuchangia mawazo yatakayoijenga jamii na nchi yetu kwa ujumla. UKIMWI ni hatari, so take care!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana JF, hodi wa jameni naomba mnikaribishe tafaaaaazali!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom