hayaaaa...
Niite Davie, nimeamua kujiunga rasmi baada ya kuperuuuuz kwa muda sasa..!
Nalikubali Jamvi linaendeshwa na watu makini wenye hoja makini. Nikaribisheni wazeiya..
hayaaaa... Niite Davie, nimeamua kujiunga rasmi baada ya kuperuuuuz kwa muda sasa..! Nalikubali Jamvi linaendeshwa na watu makini wenye hoja makini. Nikaribisheni wazeiya..
Karibu sana mkuu jamvini kwetu. Karibu mpaka ndani. Unakunywa nini mwenzetu? Wewe mtu wa vikali kama Nyagi, Whisky n.k. au wa vikali vya kati kama beer au wewe ni mtu wa vyoda (Vyoda ni wingi wa soda~ ha ha ha ha ) tu haya chagua kinywaji chako kama offer toka kwa BAK na unywe mpaka utosheke! karibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.