Hodi hodi wana JF

MWENDAKULIMA

JF-Expert Member
Jul 17, 2009
952
354
Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa la JF. The forum seems to be very educative and entertaining. I've been following the topics in here for quite some time now,nimeamua kujiunga ili niwe sehemu ya familia ya JF

naomba kuwasilisha!!!
 
Naomba kukaribishwa kwenye jukwaa la JF. The forum seems to be very educative and entertaining. I've been following the topics in here for quite some time now,nimeamua kujiunga ili niwe sehemu ya familia ya JF

naomba kuwasilisha!!!
We've lost the battle,but the war is far from over-Mullah Omar
 
Karibu sana Mwendakulima.
Hapa ni mahala sahihi kwa watu wanaohitaji kweli, na kweli tupu!
Tunategemea mchango wako utatujenga zaidi!
Swali la kizushi: Ni lini utaenda huko shamba, au unalima `remotely`?
 
Lol,niko mbioni Mwalyambi. Maisha ya town mh!

Maisha ya town poa tu mbona?
Sa huko kijijini utapata wapi mtandao mzee. na mwenyewe unajua wazi kabisa kwamba waTanzania wanaopata nishati ya umeme ni 4%?
Au umekuja ujiandikishe, halafu utambae?
 
Back
Top Bottom