Mimi ni mwanachama mpya kwenye uwanja wetu huu wa mawazo ya kulijenga taifa letu tunaloliita changa, japokuwa sina uhakika kama bado ni changa, ila ninaamini kuwa hapa tutalikomaza kama litakuwa...
Naitwa wasunuka,nimekuwa nikifuatilia sana jamii forums kwa muda mrefu sasa na nimeamua kujiunga ili tuwe na nguvu kubwa ya kuleta maendeleo katika nchi yetu na africa kwa ujumla,Napenda...
Naitwa Achiwa Lila. Nawasalimu kwa furaha tele..
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu mawazo, maswali na majibu mbalimbali katika JF. Kwa kweli yamenifurahisha, yamenifariji, na yananipa...
Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini...
Hello to All,
my name is Jozen-Bo. I am happy to be here and see such an active place as this one. I was seeking a technology forums and this popped up in the Google hits. I am interested in...
mabwana na mabibi. tumezoea mabibi na mabwana muda mrefu. tumewapa hawa mabibi nafasi ya kuwa mafirst lakini hawataki so bora mabwana waendelee na ukwanza wao. au sioooo!!!!
Naona kuna memba mpya mwenye majina ya W. J. Malecela. Natabiri atakuwa William John Malecela, kama ni yeye napenda kumkaribisha jamvini.
Tunatarajia mengi toka kwako mkuu
I want to give thanks to all JAMII FORUMS for introducing these web, where by you are free to speak out, in this you deserve the best as you are the best.
All in all this is my first time to...
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
Ndugu zangu napenda kujitambulisha. Naitwa Muberwa ninaishi Dar es Salaam. Nimefurahi sana kujiunga nanyi katika mtandao huu. Nawatakia majadiliano mema na siku njema.
salamu nyingi ziwafikie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.