Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wakuu,Waungwana hodi hodi jamvini,mimi sugar wa ukweli naombeni mnipokee
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tanzanians and JF Members, I have been and always will have interest of my country at heart. Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania. I am a Conservative with liberal views and would like...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kwa muda sasa nimekuwa nikipitia mtandao huu na kweli nikiri kwamba nimejifunza mengi. Sijaona mahali pengine ambapo kwa nafasi yangu naweza kukutana na watu aina tofauti na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu mlio hapa JF, nimelisoma jukwaa kwa takribani mwezi mmoja na nimefaidika na mengi hivyo ahsanteni sana kwa hilo, nami nimeonelea nijiunge ili nipate kuchangia yangu niliyoojaliwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natumaini wanajamii hamjambo, vile vile ninaamini nimekaribishwa pamoja kwamba nimeisha ingia ndio natoa taarifa. Mtarijie kuona sasa mambo mengi toka kwa Ona Sasa Asenteni sana kwa ukarimu wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, Napenda kuwapongeza wote kwa kazi nzuri na michango mingi yenye kujenga. Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana. Nimeona nijiunge nanyi ili niweze kuchangia. Siko anony...ni mwandishi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimefurahi kuona forum hio na ninaomba kuingia, hata kama bado sijajua kiswahili kabisa. Sasa hivi niko mbali kidogo ya tanzania ila moyo yangu inakaa kule. Ntafurahi kupata nafasi kukuta watu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hi every body,ndio naingia,aona mada ni motomoto.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello, jamii Am part of the Forumsssssssssss :rolleyes:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I salute all of you members of this great thinker's site, i'm profound humbled to be a member among you. i envision to my membership will be worthwhile, and i am looking forward to add contribute...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ningependa kutumia fursa hii kushirikiana na watanzania wote popote mlipo katika kupeana mawazo na kutatua matatizo hasa yale yanayohusiana na Computer, Communication nk.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hope you are all well,just got in as a new member and I have been very excited with all that is going on in this forum, I do wish my sincere regards to all members of JF. Lets push on.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo vipi guys!! Nimejua na jamii forum baada ya kuona kuna topics zilizotulia na comment nzuri zenye manufaa kwa jamii. mwana jamii mwenzenu Birmingham-UK
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu wenye uchungu na "nji" hii...yaani mambo yamekuwa mengi sana hapa mjini ila nimekuwa nikisoma sana daily ma-updates yanayotumwa straight kwenye e-mail yangu lakini mchango wangu umekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello wanaJF wote. Nami nimeingia na nina hasira kidogo kwa wale wote wanaoididimiza nchi hii. Kwa hivyo nitakuwa sina mchezo hata kidogo -- naomba ushirikiano. hasa nawataka wale wanafiki --...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naskia pouwa sana kujiunga na JF, naitwa Msilu Jr, hodi hodi JF members...!:)
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimeamua kujiunga na jamii forum. Baadhi ya utambulisho wangu, 1. Sipendi matusi 2. Napenda mada zenye kuheshimu watu 3 Mimi ni mtetezi wa wanawake. 4. Napenda Injili na nyimbo.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Am kiruke cha ibwe. Nafurahi kujiunga na jukwaa hili la great thinkers. Am sure I will learn alot from you guys. Nipokeeni jamani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mimi kama mnavyonisoma hapo naitwa Peter Mtemiwao......nipo kanda ya ziwa(mwanza) nimefurahishwa na michango yenu waheshimiwa wanajamii........Nikaribisheni tuendeleze libeneke cheers
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa muda nimekuwa nafaidika na mawazo na mchango wenu..asanteni. Naomba kujiunga nanyi iwapo mtanipokea.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom