Kwanza naweka heshima mbele kwenu wanajamii kwa michango yenu ya kujenga. Nami leo nimeamua kujiunga nanyi katika chombo hiki huru cha kuchangia mawazo yetu yanayojenga. Hope mtanipokea.:yo:
Jamani mtanisamehe niliingia kwa dirisha wakati wa uchaguzi (damn! i was so angry) kwa hiyo sikubisha hodi, sasa jamaa wamenipa maji nimemezea hasira yangu imeenda kutengeneza ulcers tumboni ndo...
Jamani Hodi!!
Watanzania wenzangu wana JF nawashukuru kwa sababu nimejifunza kwenu mengi nikiwa siyo member na sasa nimelazimika kujiunga kwani ninaamini hapa ni mahali pa watu wenye akili na...
Habari wakuu wa itifaki
Naitwa Shikutengi, nimekuwa nikivutiwa sana na Jimii forum kwa siku nyingi sasa leo uzalendo umenishinda nimeamua kuwa muumuni (member) naomba mnipokee
niko...
mambo ni aje wapenda amani na maendeleo wenzangu mimi naitwa gudchaz........ningependa pia kufahamu jinsi ya kuwa premium member au senior member au expert....
Hello esteemed members,
My namer is sharky
For months I have been following the very exciting discussion threads posted by various members of this forum and I have been very impressed by the...
:sad:Ni kweli nchi imewekezwa rehani kwa kutumia vitisho, vyombo vya dola (ikiwemo mchakachaji namba moja tume ya uchaguzi) na viongozi wa serikali waliowekwa kwa hisani ya uswahiba
Kiukweli Am Glad leo kuwa member HALALI wa JF, Ni kwa muda mrefu nilikuwa naitamani nafasi hii ya kuwa mmoja wa WADAU wa jukwaa hili, nikaona kwanini NIFE na MAUMIVU yangu?Kwa hiyo 1 namshukuru...
Naskia ukiruka stage ni lazma utaipitia tena baadaye.
Mfano ulivyokuwa mtoto kama ulitoka hatua ya kukaa, ghafla ukaanza kusimama dede basi hata kama uzeeni ni lazma utakuja kutambaa tu.
Mimi...