jamani wenye nyumba mpooo? mwenzenu ni mgeni kwenye kijiji hiki naomba mnipokee, mwenyekiti wa kijiji ndugu comrade invisible ameniambia nakaribishwa kijijini nanyi wanakijiji wenzangu naomba...
Hi, My name is Cathy Duncan and i am working for multinational organization for past 6 years. Hello to all fellow members and i hope i will have a great time with you guys.
Regards
Cathy...
Mimi ni mwanachama mpya naingia, naomba mnipokee kwenye ulimwengu huu , uliojaa amani, utashi ,hekima na busra tele, kwa watu makini na wenye kujua nini wanachotakiwa kukifanya,
God bless jamii...
Hi, My name is Cathy Duncan and i am working for multinational organization for past 6 years. Hello to all fellow members and i hope i will have a great time with you guys.
Regards
Cathy...
Poleni na siasa za Tanzania. Mie niko vijijini biharamulo magharibi nalima mahindi. Huku ki ukweli CHADEMA ni tishio sana labda CCM watumie pesa za ziada kuhonga hasa dakika za mwisho
Jakaya Mrisho Kikwete alipowahutubia wananchi wa Songea kwenye kampeni zake alisema watu wanaopata ukimwi ni kutokana na kiherehere chao.Ni kweli haya?Sio matusi kweli?
Hiiiiiiiiii JF community, I apologize for not following the step on introducing myself to you all, I'm very new to this community please accept me as member and I need your corporation and advice...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.