Kumbeee!!!!!!!!!!!karibu pita ndani,,katavi anakuletea kinywaji sasa hv
Ahahahahaah!katavi,klokwini,wiseLade,the finest ni watu wakarimu sana/hawataacha kukukarimu,..............karibu!
Nawe nikuletee kinywaji gani.Kumbeee!!!!!!!!!!!
Mmmhhh, ipi mamy mbona unatutisha:twitch: Lakini karibu sana!!:coffee:''Nifungulieni Milango''
Kumbeee!!!!!!!!!!!
Katavi kama kuna UROJO naomba uniletee lol!!!!Nawe nikuletee kinywaji gani.
mnoko + mnoko = UKARIMU l.o.l!!!!mnoko + mnoko=
tukiwa tunacheza viwanja vya nje unoko tuwekeane kando,,hapa ni ukarimu tu,,lol
Ahahahahaaah, una bahati mbaya umeisha!Katavi kama kuna UROJO naomba uniletee lol!!!!