Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Sasa nimeamua kujiunga. Naamini mtanipokea nami sitawaboa.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Naomba mnipokee katikaJamii forum ili niweze kujiunga katika kubadilishana mawazo na kutumia jamii forum kama jukwaa langu la kutolea kile ninachoamini kuwa kitachangia katika kuijenga Tanzania na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
sasa nimeingia na kamata kamata kwa wanaotetea posho na kujirundikia vyeo imeanza kazi mnayo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow to u all great thnkers, am a new comer here, naomba mnipokee, tuchukuliane, tusaidiane mawazo na tusameheane pale tunapogongana! Asanteni sana!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wana jf, ubongo ulikuwa unapenda kukua bila salaam za kujitambulisha kwenu!! Nimekosea kwa hilo !!!! Naomba kujiunga katika foleni ya kikombe cha tiba ya kupanua akili na hekima ya kupokea na...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hi
Hellow JF members.........! am new in here! am i welcome?
0 Reactions
10 Replies
977 Views
bila shaka wote wazima.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
kwa heshima na taadhima naomba mnipokee.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jaman wana Jf naomba mnisaidie jinsi ya KUBOLD TITLE iNANISHINDA
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba ruhusu yenu tuweze kujenga hili jukwaa kwa pamoja.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
The program iz very interesting and inasaidia kuwa wise nikaribisheni mwenzenu!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani nabisa hodi naombeni mnipokee hivi nilivyo. Nilikuwa tu msomaji ila sasa hivi nimevutiwa na mimi nataka kuchangia lakini naombeni msiniulize haya yafuatayo 1. Kwanini hufui boxes za mumeo...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu mtanisamehe kwa kutumia jina la Kilimanjaro peke yake.But thats where Im from guys!Lakini TZ nzima tupo pamoja kama nini na nini sijui.Mi ni binadamu pia,kama kuna yeyote nitamkosea au...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Hodi hodi uwanjani najimwaga naomba mnikaribishe mwenzenu nimefutiwa na michango ya forum hii. Regards MamaTibwita
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mambo zenu waungwana naombeli mnipokee kwa miguu miwili. Mini ni mwenzenu nimejivua gamba, nimekuwa kijana
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wajameni mi mpigazeze nikalibishepo
0 Reactions
6 Replies
827 Views
Wadau mliofaidi huku jf kwa kipindi kirefu tupokeane jamani naona kuna mambo mengi ya msingi niliyakosa ila nadhani cjachelewa..
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilikuwa likizo kijijini kwetu, umeme hakuna kule. Si kwa kuwa kuna mgao lah hasha kwani hawajawahi kuona hata balbu labda gropu ktk tochi na ktk taa za BAISKELI. Anyway, kimsingi nimeamua kujivua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
I feel like i know u all! Its very interesting kuwa katikati ya watu 'usiowajua' halafu ukawa happy.nikaribisheni jamani! I like u ol.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu naomba mnikaribishe mdau wenu katika jamii hii. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
0 Reactions
7 Replies
898 Views
Back
Top Bottom