Karina karibu sana, kwa kua hautaki hayo maswali ngoja nikuulize haya 1. Je ni lin utaacha tabia yako ya kimcharuko na kimapepe?2. Kwanin penda unafanya mapenz bila kutumia kinga (kondomu) na lile njemba?Jamani nabisa hodi naombeni mnipokee hivi nilivyo. Nilikuwa tu msomaji ila sasa hivi nimevutiwa na mimi nataka kuchangia lakini naombeni msiniulize haya yafuatayo1. Kwanini hufui boxes za mumeo2. kwanini unasoma meseji kwenye simu ya mumeo
Muulizeni maswali km hataki kujibu hayo bwana!karibu ila umekuja kwa fujo
Jamani nabisa hodi naombeni mnipokee hivi nilivyo. Nilikuwa tu msomaji ila sasa hivi nimevutiwa na mimi nataka kuchangia lakini naombeni msiniulize haya yafuatayo
1. Kwanini hufui boxes za mumeo
2. kwanini unasoma meseji kwenye simu ya mumeo
hahahahahaaaaa wewe dada ndio walewale wavivu eee, shauri yako ngoja afuliwe huko ndo utajuta, karibu sana pita mpaka ndani tena wewe unaonekana mkulima umefika wakati tunakula
Angalia mkono wako wa kulia kwenye kila post kumeandikwa reply with quote ubofye hapo kama unamjibu mtu post yake, sawaaa eeee mamaAsante mwaya wazima kabisa nitokako ila kazi bado ipo kwenye kufua Boxes:A S 114: