Mimi ni mdau mgeni hapa naomba ushirikiano wenu katika kujadiliana kupeana taarifa kufarijiana na hata kupeana ushauri na burudani
Aksante pamoja Luv you all.
hello jamii forums....members
mimi ni mdau wa jamii forums....tangu enzi za jambo...
enzi hizo internet cafe ,,,,,zikiwa katika chart,
Nimeamua niwe member kamili,,,,
Naahidi nitakuwa member...
Hodi Jf,
Mimi ni mgeni, nimefurahi sana kujumuika nanyi.
Nimekuwa nikijisomea nje, bila ya kuwa member hivyo ngoma imeninigea na sina budi kuicheza.
Naomba Ushirikiano wenu Wakuu.
Katika wiki tatu zijazo nitakuwa nafikisha umri wa miaka mitano kama mwanachama hai wa JF. Nilijiunga rasmi tarehe 10 October 2006, na katika kipindi chote cha uanachama wangu wa JF, nimeshughudia...
Asikuambie mtu huyo jamaa kawakaribisha watu Sana hapa jamvini kipindi kile JF ilikua na watu km 90k . Hongera sn watu 8 Una moyo WA upendo hakika you're humbled.
Mambo zenu natumai muwazima na mmeumaliza na kuuanza mwaka vizuri. Mimi niko bomba naomba mnipokee vizuri msinibague kwa kuwa mimi ni WA msumbiji.
Salve africa
[emoji170] Habari Tanzania
[emoji843]Napenda kuitambulisha kwenu page mpya ya washabiki wa chelsea Tanzania.
[emoji843]Page itakua na habari zote muhimu kwa ajili yako mnazi wa chelsea...
Habarini wadau, Baada ya kusoma nyuzi za JF kwa mda mrefu (since 2011) bila kuomba membership, Leo nimeamua rasmi kuingia katika Forum na mimi niwe mmoja wa wachangiaje. Ahsante
I am looking...
Mimi ni mwanachana npya nahitaji kujifunza mengi nisiyoyajua kupitia JAMIIFORUMS. Ili nipate Replies nyingi kwenye Threads yanipasa kufanya nini? Msaada tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.